S solanum JF-Expert Member Joined Jul 28, 2015 Posts 203 Reaction score 99 Jul 2, 2016 #1 Jamani ninatafuta mke kwa aliyeserious ili mfungo ukiisha tuje tufunge ndoa. Masharti kama ifuatavyo Awe muislam Umri 18-26 Awe na upendo wa kweli Kabila lolote Kwa aliyeserious ani PM kwa maelezo zaidi.
Jamani ninatafuta mke kwa aliyeserious ili mfungo ukiisha tuje tufunge ndoa. Masharti kama ifuatavyo Awe muislam Umri 18-26 Awe na upendo wa kweli Kabila lolote Kwa aliyeserious ani PM kwa maelezo zaidi.
2011996bd JF-Expert Member Joined Jun 20, 2016 Posts 270 Reaction score 95 Jul 2, 2016 #2 Kukurahisishia kidogo eleza na status zako cunajua tena ma.she wackuiz
Shuleless JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 4,972 Reaction score 6,246 Jul 2, 2016 #3 Unatembelea makalio? Una mkwanja wa kumwaga? Unajua kuhonga? Si unajua tena wadada wamjini walijisemeaga mwanaume pesa,mengine watavumilia.
Unatembelea makalio? Una mkwanja wa kumwaga? Unajua kuhonga? Si unajua tena wadada wamjini walijisemeaga mwanaume pesa,mengine watavumilia.
Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,326 Reaction score 7,529 Jul 2, 2016 #4 Akiwa na sura ngumu utamuoa