Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

nuwaila7

New Member
Joined
Aug 10, 2016
Posts
1
Reaction score
1
Habari wana JamiiForums,

Leo nimeamua kujitokeza kwenu kutafuta mchumba wa kiume (mume). Mwanaume nimtakaye ni awe na miaka kuanzia 30 mpaka 35 awe anaishi mkoani Kilimanjaro au Arusha, awe Muislam. Mimi naishi mkoani Kilimanjaro na nina mtoto mmoja wa kiume.

ASANTE
 
Ikitajwa Kilimanjaro tu mawazo huwa yananipeleka kwa Wamachame,
hawa ni ....... sana!
 
Sawa mdada.

Kabla sijakuja huko PM, je una 'sifa' gani ya ziada ya kunivutia na kunishawishi?

-Kaveli-
 
Habari wana Jamii Forum
Leo nimeamua kujitokeza kwenu kutafuta mchumba wa kiume(mume).Mwanaume nimtakaye ni awe na miaka kuanzia 30 mpaka 35 awe anaishi mkoani kilimanjaro au Arusha,awe Muislam
Mimi naishi mkoan kilimanjaro na nina mtoto mmoja wa kiume.
ASANTE
Nakutakia kila la kheri hakika utampata
 
"Awe anaishi Kilimanjaro au Arusha" says nuwaila, .... Ktk maisha jiandae kuishi eneo lolote cha msingi kuwe na FURSA na pia MAWASILIANO yawe rahisi
 
Moyo wangu umekudondokea wewe njoo tulee watoto(wangu na wa kwako) tuuchaze ulimwengu..hakika hutajuta..ila sikai kilimanjaro wala Arusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom