Natafuta mchumba aje awe mke baadae

Natafuta mchumba aje awe mke baadae

kajekudya

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
2,563
Reaction score
5,169
Wadau habari zenu,

Natafuta mchumba ili baadae aje awe mke, awe na umri wa miaka 22-27, awe angalau amemaliza form 4 (sababu hapa ni kuwa huyu pamoja na kuwa mchumba/mke atakuwa mshauri wangu au hata kusimamia mipango kadhaa ninayo ifikiria). Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu na nimemaliza Law school nasubiria matokeo, mipango yangu ni kuoa ndani ya miaka hii miwili.
 
Kuwa na muenzi aliye Lawyer inahitaji Mungu zaidi ndani yake maana kazi hii ya kuwa Lawyer inaweza kukupeleka hell kesho . Mungu awaongoze Lawyers wote na kuwajaza Hekima zake haswa woga wa KiMungu ndani yao , maana acha tuu. Nakutakia kila la kheri kwenye utafutaji wako mpendwa natumai utapata mke muombaji zaidi yako ili akuombee sana katika kusimama na Mungu kwenye kazi yako . Maana hii kazi asikudanganye mtu ina changamoto zake nyingi sana kuliko Kazi nyingine yoyote ile haswa kwenye swala la vishawishi
 
Yaani kuoa umeweka kama equation ambayo lazima ipate jibu, labda ndiyo mana wengine wamefanikiwa, wengine tunafikiria unaoa kwa feelings kuwa huyu ni huyu huyu.
 
Kuwa na muenzi aliye Lawyer inahitaji Mungu zaidi ndani yake maana kazi hii ya kuwa Lawyer inaweza kukupeleka hell kesho . Mungu awaongoze Lawyers wote na kuwajaza Hekima zake haswa woga wa KiMungu ndani yao , maana acha tuu. Nakutakia kila la kheri kwenye utafutaji wako mpendwa natumai utapata mke muombaji zaidi yako ili akuombee sana katika kusimama na Mungu kwenye kazi yako . Maana hii kazi asikudanganye mtu ina changamoto zake nyingi sana kuliko Kazi nyingine yoyote ile haswa kwenye swala la vishawishi
Hata usijali kawaida tu mbona ukishingia huku!
 
Hata usijali kawaida tu mbona ukishingia huku!
Bado Hekima za Mungu zinahitajika maana hela inahusu hapo na kesi nyingine ziko complicate . Wewe bado mpya subiri uendelee kukaa hapo zaidi na zaidi halafu iko siku utakumbuka haya nisemayo
 
Ha ha ha, mkuu hakuna kada isiyo na changamoto!
 
Mkuu Dino sio issue sana, linaongeleka hili!

Watu Wengi Wanasema dini sio muhimu litaongeleka.Lakini sio kweli.Dini ni utaratibu Na tabia ulio kuwa nayo toka utotoni:huwezi ghafla U kabadili.Kwa masilahi ya Elimu Na nafasi yako kimali inawezekana Kwa mtarajiwa lakini haiwezi dumu.Kweli ziko ndoa chache zimeweza kudumu Na naomba yako iwe mojawapo.Vile vile familia zenu zinaoa Huyo mtarajiwa.
Samahani Kama nimekukwaza Ila hayo ni maoni yangu.
Nakutakia kila la kheri upata Mke mwema wa maisha.
 
Mkuu inategemea na namna unavoitazama dini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom