Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

Nondoh

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
298
Reaction score
478
Seriously kwa aliye tayari ani pm.

Natafuta mchumba, sifa ni kama zifuatazo;
. Awe binti asiyezidi miaka 28
. Mrefu kiasi
. Mwembamba si lazima sana ili hata akija nenepa asiwe tinginya
. Elimu sio kigezo sana
. Awe tayari kuishi na mimi popote iwe kijijini au mjini, maisha yangu mimi ni ya kutafuta riziki popote ilipo
. Ambaye hajawahi zaa
. Awe tayari kupima
. Awe mkweli na si mdanganyifu
. Dhamira yake.ni kweli iwe ni ndoa na sio kuja kwangu kusafisha nyota nae aonekane ameolewa
. Dini ...(tutaongea zaidi pm)

Ikiwa ni wewe au mdogo wako au rafiki yako au ndugu yako ambaye anahangaika kupata mume na kweli ana dhamira ya dhati mjulishe.

Note; matusi, kebehi, maelezoyasiyo na tija potezea, usikurupuke kuja...

Wachangiaje wawe wanawake tu. Wewe mvulana/ mwanaume potezea huu uzi
 
Seriously kwa aliye tayari ani pm.

Natafuta mchumba, sifa ni kama zifuatazo;
. Awe binti asiyezidi miaka 28
. Mrefu kiasi
. Mwembamba si lazima sana ili hata akija nenepa asiwe tinginya
. Elimu sio kigezo sana
. Awe tayari kuishi na mimi popote iwe kijijini au mjini, maisha yangu mimi ni ya kutafuta riziki popote ilipo
. Ambaye hajawahi zaa
. Awe tayari kupima
. Awe mkweli na si mdanganyifu
. Dhamira yake.ni kweli iwe ni ndoa na sio kuja kwangu kusafisha nyota nae aonekane ameolewa
. Dini ...(tutaongea zaidi pm)

Ikiwa ni wewe au mdogo wako au rafiki yako au ndugu yako ambaye anahangaika kupata mume na kweli ana dhamira ya dhati mjulishe.

Note; matusi, kebehi, maelezoyasiyo na tija potezea, usikurupuke kuja...

Wachangiaje wawe wanawake tu. Wewe mvulana/ mwanaume potezea huu uzi
Duh!
 
Waliokwisha tangaza nia humu wamo wengi sana wapm bila kumsahau MISS NATAFUTA, anatafuta kweli kama jina lake linavyoeleza. Mtoto yuko poa sana kafungashia, figure nzuri, macho mazuri, maziwa saa sita mchana!
She is just 26 years old, atakufaa sana huyu-mtoto hana makuu nisingekuwa na mke angekuwa wangu huyu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]me ninamtaftia dogo na jamaa hajajieleza ana vigezo Gani me shemej angu ananiamini sanaaaa na msukuma ndio Madagascar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahahaha nimekubamba kabah, ngoja shilawadu shilawadu nifanye kazi yangu, ukiona mr amenuna leo ujuwe nimeshafanya yangu
 
Back
Top Bottom