Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Salaam, wana JF Kwa mara nyingine tena naleta mbele yenu maombi yangu nikiwa naamini kwa moyo wangu wote kuwa lipo jibu miongoni mwenu. Haja ya moyo wangu ni kumpata binti au mwanamke ambaye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naitwa obed Frederick, nahitaji msichana alie tayari kuwa na mimi hatimae tuweze kupanga maisha mimi ni mwajiriwa serikalini vigezo kwa mwanamke awe anapenda ibada awe mwalimu au nurse. If...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mdada 26 yrs Masters holder Tall 179 cm 73 kg currently Mweupe wa kawaida Mwajiriwa Christian Beautiful with brain Mwanaume awe From degree kuendelea Mrefu kama mimi Awe...
5 Reactions
140 Replies
10K Views
Habari za leo wana JF. Ninakuja mbele zenu na hoja yangu ambayo kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta mke. Lakini kwanza nataka tuanze na urafiki wa kawaida, tufahamiane halafu tuendelee...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawai olewa, dini ni kristo kitu ninachokipenda napenda kupika na kucheza mziki situmii kilevi chochote. Mwanaume ninaemuhitaji...
2 Reactions
57 Replies
8K Views
Habari zenu wapendwa. Mimi ni binti nahitaji marafiki wa kike na wamama pia Kigezo ni uwe mcha Mungu umeokoka.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi mwanaume, umri miaka 35 Naishi Dar es Salaam. Natafuta rafiki wa kike wa maisha umri miaka 30 mpaka 40. Awe anaishi Dar es salaam.Mengi tutaongea tutakapo onana Karibu
1 Reactions
4 Replies
720 Views
Habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 mwembamba mrefu maji ya kunde naishi Dar na nimeajiriwa serikalini, nahitaji mke wa kuoa mwenye sifa hizi; Awe muislamu wa ukweli awe na umbo zuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina miaka 40 msomi nimerudi hivi aribuni toka masomoni ng'ambo. Natafuta msichana amabaye yupo tayari kwa mahusiano yenye mwelekeo wa ndoa. Sijali rangi au mwonekano ajali internal beuty. Aliye...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Hi Wanabodi, Chini ni list ambayo imetolewa na pornmd ikiorodhesha nchi zinazoongoza kwa uangaliaji wa zile video za kiutu uzima mitandaoni. List imenishangaza kwa kweli. Hii hapa jionee mwenyewe.
3 Reactions
86 Replies
68K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka. maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya...
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Hello members..I am 32 years old in Arusha..looking for a girl friend to chat and exchange ideas. If interested please check in my PM plz
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina miaka 29, elimu yangu degree ni muajiriwa wa taasisi flani nahitaji mwanamke wa kuoa vigezo awe na elimu kuanzia kidato cha nne atleast awe mwenye matokeo mazuri ili iwe rahisi kumuendeleza...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Dada...take...position....nataka ....ke wa kukuoa,siyo mchepuko...aw tayari kuish Mkoa wa Songwe.0757658783.
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi. Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua...
52 Reactions
354 Replies
41K Views
Instead of looking at your connection as relationship, try to view it as partnership. Partnership will lead you to a whole new level. * Wale waliojiunga JF tangu 2006 - 2011 Tujadili*
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mambo,mambo vipi!? kichwa cha habari nadhani kipo clear,natafuta mwanamke wa kuoa kwa mkataba,mkataba ni renewable baada ya mwaka,probation time ni miezi sita ndani ya hiyo miezi awe na uhakika wa...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Vigezo: Umri si chini ya 30 Mkristo Kwa alie serious PM me!
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari wana JF, Husika na kichwa cha habari, Natafuta friends went sifa kama hizi; SIFA Umri- 27 up to 32 Dini - Muslim Elimu - degree na kuendelea Awe amejiari / kuajiriwa Mambo mengine...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom