fj_dom
Member
- Jan 29, 2017
- 22
- 13
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31. Ni mda sasa natamani kuwa na mtu ila sipati bahati kukutana na mwanamke ambaye ana vigezo nnavyovitaka.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.
maana kila nikikutana na demu ni vibomu tu kama vya nyuklia.
ninafanya kazi na nimepanga, natamani nipate mdada wa umri kuanzia 26 mpaka hata 40. awe na kazi na ametulia. nimechoka kuwa single.