Looking for male friends for future plans

Shoshmita

Member
Feb 12, 2017
71
38
Habari wana JF,

Husika na kichwa cha habari,

Natafuta friends went sifa kama hizi;
SIFA
Umri- 27 up to 32
Dini - Muslim
Elimu - degree na kuendelea
Awe amejiari / kuajiriwa

Mambo mengine tutayaongea PM
 
Zaa wa kwako umsomeshe inshaallah atafikia hiyo miaka na atajiajili. Nakutakia utekelezaji mwema
 
Wewe umejiajiri au kujiajiri..! Mpaka unatafuta badala ya kutafuta kuna kitu hakiko sawa.
 
Habari Wana jf, husika na Kichwa cha habari, natafuta friends went sifa kama hizi;
SIFA
Umri- 27 up to 32
Dini - Muslim
Elimu - degree na kuendelea
Awe amejiari / kuajiriwa
Mambo mengine tutayaongea PM
Wewe hujaweka sifa zako hapa, kumbuka hata hao unaotaka wawe friends wako nao wanahitaji friends wenye vigezo(sifa) kadha wa kadha.
Sema umri wako, elimu yako, kwa kua ww ni mdada sema hata shape maana siku hizi wanaume tuko selective sana kutokana na kile kinachoitwa supply and demand theory

Wanaume kokote mliko agiza bia, mbege n.k bili nalipa Mimi kwa tigo pesa
 
Mzee Kombo kwa siku moja alipokea posa ya binti yake Hamida kutoka kwa watu watatu tofauti,
na akawataka waje kesho yake ndio atawajibu kwamba ni yupi alikubaliwa posa yake.

Siku ya miadi ilikuwa hivi

*Mzee Kombo* alimuuliza wa kwanza: Enhee, baba! Unaitwa nani?

*Kijana:* Naitwa Muhammad

*Mzee Kombo:* Jina lako zuri na ni jina la Mtume

*Kijana:* Ndio baba

*Mzee Kombo:* Katika Quran kuna sura inaitwa Muhammad; je unaijua?

*Kijana:* Ndio!

*Mzee Kombo:* Hebu nisomee

*Kijana:* Daah! mzee siijui

*Mzee Kombo:* Basi huwezi kumpata binti yng

*Mzee kombo:* Enhee, na wewe unaitwa nani?

*Kijana 2:* Naitwa Yusuf

*Mzee Kombo:* Alaa! Nawe pia una jina la mtume na katika Qur an ipo sura kwa jina lako; hebu isome kidogo

*Kijana 2:* Duuh! siijuwi, mzee.

*Mzee Kombo:* Basi nawe huwezi kumuowa binti yangu

Akamgeukia na yule kijana wa tatu na kumuuliza: enhe mwanangu, nawe unaitwa nani?

*Kijana:* Naitwa _Qulhuwallahu!_

 
Mzee Kombo kwa siku moja alipokea posa ya binti yake Hamida kutoka kwa watu watatu tofauti,
na akawataka waje kesho yake ndio atawajibu kwamba ni yupi alikubaliwa posa yake.

Siku ya miadi ilikuwa hivi

*Mzee Kombo* alimuuliza wa kwanza: Enhee, baba! Unaitwa nani?

*Kijana:* Naitwa Muhammad

*Mzee Kombo:* Jina lako zuri na ni jina la Mtume

*Kijana:* Ndio baba

*Mzee Kombo:* Katika Quran kuna sura inaitwa Muhammad; je unaijua?

*Kijana:* Ndio!

*Mzee Kombo:* Hebu nisomee

*Kijana:* Daah! mzee siijui

*Mzee Kombo:* Basi huwezi kumpata binti yng

*Mzee kombo:* Enhee, na wewe unaitwa nani?

*Kijana 2:* Naitwa Yusuf

*Mzee Kombo:* Alaa! Nawe pia una jina la mtume na katika Qur an ipo sura kwa jina lako; hebu isome kidogo

*Kijana 2:* Duuh! siijuwi, mzee.

*Mzee Kombo:* Basi nawe huwezi kumuowa binti yangu

Akamgeukia na yule kijana wa tatu na kumuuliza: enhe mwanangu, nawe unaitwa nani?

*Kijana:* Naitwa _Qulhuwallahu!_

Mzee kombo apo nadhani alimpa binti wake na kumuongeza mmoja
 
Mzee Kombo kwa siku moja alipokea posa ya binti yake Hamida kutoka kwa watu watatu tofauti,
na akawataka waje kesho yake ndio atawajibu kwamba ni yupi alikubaliwa posa yake.

Siku ya miadi ilikuwa hivi

*Mzee Kombo* alimuuliza wa kwanza: Enhee, baba! Unaitwa nani?

*Kijana:* Naitwa Muhammad

*Mzee Kombo:* Jina lako zuri na ni jina la Mtume

*Kijana:* Ndio baba

*Mzee Kombo:* Katika Quran kuna sura inaitwa Muhammad; je unaijua?

*Kijana:* Ndio!

*Mzee Kombo:* Hebu nisomee

*Kijana:* Daah! mzee siijui

*Mzee Kombo:* Basi huwezi kumpata binti yng

*Mzee kombo:* Enhee, na wewe unaitwa nani?

*Kijana 2:* Naitwa Yusuf

*Mzee Kombo:* Alaa! Nawe pia una jina la mtume na katika Qur an ipo sura kwa jina lako; hebu isome kidogo

*Kijana 2:* Duuh! siijuwi, mzee.

*Mzee Kombo:* Basi nawe huwezi kumuowa binti yangu

Akamgeukia na yule kijana wa tatu na kumuuliza: enhe mwanangu, nawe unaitwa nani?

*Kijana:* Naitwa _Qulhuwallahu!_

Hah hah hah huyo lazima awe mkwe wa mzee kombo
 
Ni"pm" ninazo hizo sifa, ila inabidi uwe una ushombeshombe kidogo... angalau umefika form six, una umri chini ya miaka 25, haujazaa. Karibu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom