Girlfriend-to-wife seriously wanted

sambara

Member
Apr 24, 2013
17
3
Habari za leo wana JF.

Ninakuja mbele zenu na hoja yangu ambayo kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta mke. Lakini kwanza nataka tuanze na urafiki wa kawaida, tufahamiane halafu tuendelee mbele pale kila mmoja wetu atakapojiridhisha. Na ninaposema tufahamiane simaanishi tufanye ufuska.

Mimi ni mwanaume wa miaka 30, nina elimu ya Chuo kikuu, na nimeajiriwa. Ninatafuta rafiki wa kike ambaye angependa kujenga mahusiano yenye lengo la kuwa wanandoa.

Awe Mkristo, elimu ya kidato cha nne na kuendelea na umri usiozidi miaka 30. Mengine yote nitajadili moja kwa moja na mhusika. Kwa yule aliye serious tu anitumie PM.
 
Kwa kipindi hiki tegemea kupata mmoja kati ya wanaotoka "shugarei" au "kona baa"
 
Habari za leo wana JF.

Ninakuja mbele zenu na hoja yangu ambayo kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta mke. Lakini kwanza nataka tuanze na urafiki wa kawaida, tufahamiane halafu tuendelee mbele pale kila mmoja wetu atakapojiridhisha. Na ninaposema tufahamiane simaanishi tufanye ufuska.

Mimi ni mwanaume wa miaka 30, nina elimu ya Chuo kikuu, na nimeajiriwa. Ninatafuta rafiki wa kike ambaye angependa kujenga mahusiano yenye lengo la kuwa wanandoa.

Awe Mkristo, elimu ya kidato cha nne na kuendelea na umri usiozidi miaka 30. Mengine yote nitajadili moja kwa moja na mhusika. Kwa yule aliye serious tu anitumie PM.
Unasema wa form 4 na kuendelea...vipi wa darasa la 7?
 
Habari za leo wana JF.

Ninakuja mbele zenu na hoja yangu ambayo kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta mke. Lakini kwanza nataka tuanze na urafiki wa kawaida, tufahamiane halafu tuendelee mbele pale kila mmoja wetu atakapojiridhisha. Na ninaposema tufahamiane simaanishi tufanye ufuska.

Mimi ni mwanaume wa miaka 30, nina elimu ya Chuo kikuu, na nimeajiriwa. Ninatafuta rafiki wa kike ambaye angependa kujenga mahusiano yenye lengo la kuwa wanandoa.

Awe Mkristo, elimu ya kidato cha nne na kuendelea na umri usiozidi miaka 30. Mengine yote nitajadili moja kwa moja na mhusika. Kwa yule aliye serious tu anitumie PM.
Wa mtaani kwenu ,shule zote ulizosoma na kote ulikopita umewashindwa !!HAWA WA MITANDAONI UTAWAWEZA??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom