Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello, hope mko poa wana JF, Am looking for girl friend who is residing here in Dar. Age should be btn 25 and 30 inclusive, Christian na awe angalau mrembo wa kawaida na awe mrefu. Personally...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hello wana JF, Naitwa Salehe Jafary natafuta mke mwema wa kuanza nae maisha, elimu, dini sichagui ili mradi awe mwenyeji au anapenda kuishi Mwanza, Simiyu. Umri miaka 19 hadi 25. Aliyetayari...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wandugu, Kwa yeyote mwenye hitaji kama langu naomba tuwasiliane pm. Mimi ni Ke age btn 26 -28. Nipo Dar kabila mchaga dini christian. Mwanaume ninayemtaka awe na age at least...
10 Reactions
147 Replies
17K Views
HABARI WANA JF NAJITOKEZA KWA MARA YA KWANZA KUTAFUTA MKE WA KUO. JINA:Erickson UMRI: Miaka 31, KABILA: mkonongo, DINI: Mkristu, NCHI NAYOISHI:Tanzania, UREFU : FT5.6, RANGI : Mweusi, ELIMU: Chuo...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Awe msichana wa miaka 18-24, awe msomi walau kuanzia kidato cha sita, mcha Mungu na mwembamba,maji ya kunde au mweupe, na Mwenye mapenzi ya kweli na Mwenye mtazamo chanya wa maendeleo. Mi ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba wenye mapenzi ya kweli awe kamaliza kidato cha nne au darasa la saba mimi ni mjasiriamali kipato cha ni cha kawaida tu mwanamke ninaye mtaka...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Natumai mu wazima wanafamilia wa JF, Nipo apa kuandika Uzi huu kwaajili ya kumtafuta rafiki wa kike, atakaekuwa mpenz wangu, mchumba na baaadae tuje kufunga ndoa na kuishi pamoja kama mume na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Sifa zangu ni mwanamke mwenye umri miaka 26, sijawai kuolewa sina mtoto, elimu yangu form4 na dini mkristu kazi nimejiajiri na ujasiriamali mpaka, sifa za mwanaume umri. Miaka27-35...
12 Reactions
133 Replies
12K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 Elimu ni Chuo kikuu. Nimeajiriwa nipo kikazi Arusha. Natafuta msichana wa Malengo nae atakae nipenda na nitakaempenda awe mama bora wa familia niwe baba bora...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Mimi ni kijana,33 years,nafanyakazi,mrefu kiasi,sio mweusi sana,mkristo,napenda kuangalia sinema na kusafiri,mazoezi na real estate. Natafuta msichana wa miaka kati ya 24-32 awe mpole na...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Umri wangu miaka 26, elimu yangu kidato cha nne sina mtoto wala sijawahi olewa. Dini ni kristo. Kitu ninachokipenda; napenda kupika na kucheza mziki. Situmii kilevi chochote. Mwanaume...
22 Reactions
133 Replies
22K Views
Habari wana JF, Kwa mnaokumbuka thread yangu ya kutafuta mke: Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze Nimerudi kuwakushukuru, nimepata mke mwema wa kufanana nae...
17 Reactions
166 Replies
14K Views
Habari zenu wana jukwaa, Nimeanzisha Uzi huu si kwa utani bali ni kwa uhalisia na hisia za moyo wangu baada ya kuwa nimepitia mengi katika mahusiano. Niliuambia moyo usukume damu ila...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Kama tittle ya thread inavyosoma hapo Juu. Natafuta mdada mwenye kujielewa wa kujenga nae maisha. Please kwa mdada yeyote mwenye kukidhi vigezo ani pm tuyaanzishe mahusiano. Wasifu wangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari za muda huu wakuu mimi nikijana na umri wa miaka 20 natafuta mpenzi awe na umri wa miaka 18 hadi 20 elimu darasa la saba au kidato cha nne kama yupo anicheki pm.
1 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari zenu wana janvi.., katika dunia hii hakuna palipoandikwa ni sehem gani unaweza kupata mke au mme., bali ni sehem yeyote unaweza kupata mwenza wa maisha yako ya hapa dunian.Kuna watu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF, Lazima uwe mvumilivu ndio utampata. Si vinginevyo
9 Reactions
92 Replies
8K Views
Habar zenu wana jamii forum hususani wale wa kitengo hiki? Kama kichwa cha habar kinavyoeleza natafuta mchumba wa kike ambaye atakuwa mke wangu. Elimu yangu ni degree moja nilihitimu mwaka 2015...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
awe makalim umr miaka .18 hadi 22 mi niko dar rangi yoyot kabila lolote aliye serous anitafute 0714702720
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naitwa Thom natafuta mchumba baadae mke nipo serious umri miaka 26 ninayemhitaji awe na 22-24 mm nimeajiriwa serikalini itapendeza akiwa ameajiriwa pia hata sekita binafsi dini mkristo nina mtoto...
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Back
Top Bottom