Natafuta boyfriend

Habari zenu wana jf
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level,

WASIFU WANGU

Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Nitafute pm tafadhari
 
Habari zenu wana jf
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level,

WASIFU WANGU

Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Jiandae kukutana na ma fortune hunters, waukaange Roho yako inyauke kama ganda LA muwa LA mwezi uliopita
 
Habari zenu wana JF,

Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.

WASIFU WANGU

Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea

Asanteni

Katiba ya jamhuri ya muungano inaweka wazi kwamba kila mtu ana uhuru wa kuishi,kufurahi na kupata faragha kwa maana ya mpenzi and likely, sasa kwa kuwa elimu umeweka kigezo cha O'level ambacho ni asilimia ndogo sana ya Wenye elimu hiyo ambao wanajimudu kimaisha huoni kwamba ungefuta suala la kuhakiki vyeti ili kupanua wigo wa waombaji wa nafasi?
Na kuhusu suala la ulevi hudhani unaweza kupata mtahiniwa wa nafasi hiyo anayekufaa ambaye anaingiza kipato chake kupitia biashara ya ulevi na vilevi?
 
Katiba ya jamhuri ya muungano inaweka wazi kwamba kila mtu ana uhuru wa kuishi,kufurahi na kupata faragha kwa maana ya mpenzi and likely, sasa kwa kuwa elimu umeweka kigezo cha O'level ambacho ni asilimia ndogo sana ya Wenye elimu hiyo ambao wanajimudu kimaisha huoni kwamba ungefuta suala la kuhakiki vyeti ili kupanua wigo wa waombaji wa nafasi?
Na kuhusu suala la ulevi hudhani unaweza kupata mtahiniwa wa nafasi hiyo anayekufaa ambaye anaingiza kipato chake kupitia biashara ya ulevi na vilevi?
Brother nimesema elimu kuanzia O'level,pia unaweza kuuza kilevi na usiwe mlevi.
 
Bibi Cheka, karibu sana. Ukihitaji kujua UGORO unapatikana wapi humu, nambie.
 
Habari zenu wana JF,

Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.

WASIFU WANGU

Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea

Asanteni



samahani, unaishi wapi, watoto wangapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom