Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28, ninatafuta msichana kuanzia miaka 20-25, ili awe mchumba na Mungu akipenda tuje kujenga familia huko mbeleni.
Wasifu wangu;
Mimi ni mfanyabiashara ndogondogo.
Elimu yangu ni Digrii ya kwanza(Bsc).
Makazi Morogoro.
Dini mkristo Lutheran.
Kabila Mbena.
Situmii kilevi.
Msichana nae muhitaji:
Umri 20-25
Elimu form six and above.
Dini:Awe mkristo au kama muislamu awe tayari kubadili dini.
Kabila
ote.
Awe anajipenda na mwenye kuvutia.
Mrefu wastani.
Asiwe mnene sana au mwembamba sana.
Asiwe tegemezi, mbunifu ni advantage kwangu.
Mwenye kujiheshimu.
Asiwe mlevi
Wasifu wangu;
Mimi ni mfanyabiashara ndogondogo.
Elimu yangu ni Digrii ya kwanza(Bsc).
Makazi Morogoro.
Dini mkristo Lutheran.
Kabila Mbena.
Situmii kilevi.
Msichana nae muhitaji:
Umri 20-25
Elimu form six and above.
Dini:Awe mkristo au kama muislamu awe tayari kubadili dini.
Kabila

Awe anajipenda na mwenye kuvutia.
Mrefu wastani.
Asiwe mnene sana au mwembamba sana.
Asiwe tegemezi, mbunifu ni advantage kwangu.
Mwenye kujiheshimu.
Asiwe mlevi