MAUAJI ya Watanzania kwa njia ya kuchinjwa yanaendelea kushika kasi baada ya usiku wa kuamkia jana wakazi wanane wa kitongoji cha Kibatini, kata ya Mzizima jijini Tanga kuuawa kwa kuchinjwa shingo...
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Bila kupepesa Maneno, Serikali ya awamu 5 ina sura mbili, na tabia ya namna hiyo huwa tunaiita unafiki/Udumilakuwili/Udananda/Double standards.
Mifano:-
1...
Kwa kuzingatia historia na taratibu za uendeshaji wa mabunge yote ya nchi zote chini ya jumuiya za madola hasa kwa nchi zinazoheshimu siasa zenye misingi ya demokrasia ya vyama vingi, adhabu...
Mara nyingi tabia hii imekua ikijiludia mara kwa mara pale wapinzani wanapotofautina na pande hasimu.
Swali je? ina manufaa kwa maana ya matokeo chanya?.
Nakumbuka toka bunge la katiba...
Mwanzoni mwa Serikali ya Awamu ya tano,chini ya Rais Magufuli,kulikuwa na matumaini makubwa. Matumaini ya kuona na kusikia mambo tofauti. Matumaini ya kuachana na mazoea yasiyopendeza.
Matumaini...
By Athuman Mtulya @mtulya amtulya@tz.nationmedia.com
Dar es Salaam. The budget of the office of the Controller and Auditor General (CAG) is set to be slashed by half.
Finance minister Philip...
#Hoja_Ya_Wanafunzi_wa_UDOM
Watu wengi wanaohoji nini kiini cha tatizo la wanafunzi wa UDOM? Wamefanya nini? Kwanini wamefukuzwa? Kwanini iwe usiku wa manane? Nini hatma yao?
#Majibu
Mgogoro huu...
Hivi mpaka leo hii bado tu hamjamuelewa Raisi Magufuli? Mnafikri ni mtu wa kutishwa na kuyumbishwa kwa mashinikizo? Poleni sana!
Jaribuni kumsoma kwanza ndiyo muelewe jinsi ya kuishi naye kwani...
.....UDOMASA....
UFAFANUZI JUU YA MGOGORO WA UFUNDISHAJI WA STASHAHADA MAALUM YA ELIMU, SAYANSI, HISABATI NA TEHAMA (SPECIAL DIPLOMA)
CHUO KIKUU CHA DODOMA KATIKA MUHULA WA PILI WA MWAKA WA...
Kwa muda mrefu watanzania wamekuwa wakichagua viongozi wa juu na kuwapanga kwa ubora!
Wengi wanamuweka Nyerere kama namba moja na list inafuata just kwa kutajataja bila ya kuainisha facts!
Je...
Kwa kitendo alichokifanya leo bungeni personally naona yupo sahihi,
Hii ni kutoana na kwamba hana uchungu na wananchi wa Tanzania,
Sababu kuu ni kwamba hatujampigia kura kyuingia bungenii, wala...
Waziri Mkuu aliyeshinikizwa kujiuzulu kwa kashfa ya RICHMOND, Edward Ngoyai Lowassa ana hali mbaya kutokana na tishio la mali zake kuanza kunyang'anywa huku pia akiwa ameshauza nyumba yake moja ya...
Meneja wa Mgodi wa accacia Buzwagi, Bwana Mwaipopo amekubali ombi la serikali kuujenga uwanja wa mpira wa Halmashauri ya mji wa Kahama. Amezungumza hayo jana mbele ya mkuu wa wilaya ya Kahama...
Mbunge wa upinzani zitto kabwe ameonesha dhahiri kupora cheo.Ikumbukwe kuwa huyu ni mutoto ya mujini katika siasa za bongo. " sio lazima kuitwa KUB lakini dhahiri amepora cheo hiki" na KUB halisi...
#Soma Mbinu mpya ya Utapeli
itakusaidia imemtokea rafiki yangu !
TUWE MAKINI....MATAPELI KILA MAHALI SASA....Copy pasted
NI KWELI IMENITOKEA JIONI YA LEO TAREHE 30/5/2016.
Jamani, utapeli...
Leo tuone tofauti ya hawa wanasiasa tata kabisa ndani ya siasa za bongo.hapa mbowe pale zitto.Hii pia itasaidia wao kuona mapungufu yao dhidi ya mwenzake.twende kazi
1: CHEO KATIKA CHAMA
Mbowe...
Halafu wanataka kuongoza kama vitu vidogo kama hivyo vinawashinda, kumbe ndiyo maana wanawatetea Wanafunzi vilaza walioondolewa kama Waswahili tusemavyo maji hufwata mkondo wake!!
(Kwa hisani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.