Mgodi wa Buzwagi kuujenga uwanja wa mpira wa Kahama Mjini

MWAKATA KWETU

JF-Expert Member
Mar 25, 2015
562
319
Meneja wa Mgodi wa accacia Buzwagi, Bwana Mwaipopo amekubali ombi la serikali kuujenga uwanja wa mpira wa Halmashauri ya mji wa Kahama. Amezungumza hayo jana mbele ya mkuu wa wilaya ya Kahama Mh.Vita Kawawa.

Meneja huyo wa mgodi wa Buzwagi pia alikabidhi hundi ya million mia tano kwa mkuu wa wilaya ya Kahama kwa ajili ya maendeleo ya mji huo.

Chanzo: startv.
 
Utashangaa uwanja wa ccm ule! Uje uwekwe wazi uwanja wa manispaa ya kahama! Ccm watajongea hapo!
 
Back
Top Bottom