Maono ya jicho la tatu: Namuona Dkt. Asha-Rose Migiro mbali sana , akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba na baadae Rais wa Jamhuri yetu

Maono ya jicho la tatu: Namuona Dkt. Asha-Rose Migiro mbali sana , akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba na baadae Rais wa Jamhuri yetu

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
3,190
Reaction score
5,377
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
 
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Gentleman,
agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040 ni Dr.Emmanuel John Nchimbi, Full stop.
hayo mengine yatabaki kua maono na ramli tu
 
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Maono yako yame-assume kuwa watanzania watandelea kuwa wajinga, kupangiwa watawala wabovu na CCM, na pia Samia atakuwa rais mpaka 2030, na vile vile Kikwete atakuwa hai mpaka 2030, bila kusahau watanzania watakuwa wamesahau madhila ya kuwa na rais mwanamke.
 
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.


Katiba mpya haina umuhimu kwa sasa,

Hata katiba mpya isipisimamiwa itakuwa ni kama katiba hii tu

Watu wengi mnadai katiba mpya nikiwauliza katiba hii ya sasa inachangamoto gani hamna majibu

Tunadai katiba mpya kwa kufata mkumbo tu
 
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Mkuu kuwa makini sana na hilo jicho la tatu mkuu usije ukaliwa donati mtuu…
 
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Samia kashawaharibia wanawake wote. Sisemi kwamba ni sawa, ila huo ni ukweli.
 
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya jicho hili.

Katika kuangazia mambo mbalimbali, Leo jicho langu la tatu linamuona Dkt.Asha.rose Migiro ambaye kwa sasa ni katibu Mkuu wa CCM akiwa mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
mbali sana kutoka alipo sasa.

Linamuona akiwa Mwenyekiti wa bunge maalumu la katiba ambaye ataongoza mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya na zaidi linamuona akiwa Rais wa Jamhuri yetu baada ya Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Unamuona mama mwingine tena kuwa rais baada ya mama huyu? Simdharau Dr. Migiro wala wanawake ila huyu mama yetu wa sasa amewaharibia sana mama zetu.

Jicho lako la tatu halioni au ni 'macho kumchuzi' [macho malyenge].

Vv
 
Unamuona mama mwingine tena kuwa rais baada ya mama huyu? Simdharau Dr. Migiro wala wanawake ila huyu mama yetu wa sasa amewaharibia sana mama zetu.

Jicho lako la tatu halioni au ni 'macho kumchuzi' [macho malyenge].

Vv
Mungu akitujalia uhai 2030 huu uzi utafufuliwa tena
 
Katiba mpya haina umuhimu kwa sasa,

Hata katiba mpya isipisimamiwa itakuwa ni kama katiba hii tu

Watu wengi mnadai katiba mpya nikiwauliza katiba hii ya sasa inachangamoto gani hamna majibu

Tunadai katiba mpya kwa kufata mkumbo tu
Kama haujui changamoto za hii katiba iliyopo utakuwa ni mwehu, mpumbavu usiye na akili na punguani.
 
Back
Top Bottom