Basi hili limekwisha, katiba mpya ya Samia inakuja!Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu
Basi hili limekwisha, katiba mpya ya Samia inakuja!
P
Hata katiba nzuri haijilindi yenyewe. Kama Watanzania tutaendelea na ukondoo wetu, mazafakas wataisigina hata hiyo Katiba mpya na wataendelea kutuchinja au kutupoteza kadri wanavyopenda. Before you know it, nayo itakuwa “kijitabu” tu!Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu
Ni kweli, maana nyie kura zenu zilikuwa tayari kwenye mfumo wa NIDANdyo maana mlienda kuitafuta katiba kwenye maduka ya simu? Mkaenda hadi kwa shilole kutafuta katiba mpya?
Naomba usisikitike, kuna vitu vya ajabu anafanya ukidhani ni yeye kumbe sio yeye, yeye asili yake ni hii, Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide Genuine, ni asili yake, ni nature yake, ndivyo alivyo, Ila... ila kutokana na IQ yake, yeye ni anafanyishwa, bila ya yeye mwenyewe kujua kuwa kuna baadhi ya mambo anashauriwa na washauri wake, they are not right, hivyo anaingizwa mkenge, na mfano mzuri ni ni hii kesi ya mchango uhaini, kwanza niliandika humu Ijue Katiba ya JMT kwa Jicho la Mtunga Katiba: Watanzania Tusishabikie Uhaini. Hukuna Uhaini wa Kauli na Maneno, Uhaini ni Mipango na MatendoNasikitika bro P unamuamini huyu Mama . Si mkweli! Angekuwa mkweli tusingefika hapa
Na Samia tutampa adhabu gani?Basi hili limekwisha, katiba mpya ya Samia inakuja!
P
Inayohitajika ni Katiba ya Wananchi, sio katiba ya Samia...wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawaBasi hili limekwisha, katiba mpya ya Samia inakuja!
P
Comodo dragon ni mmbishi ila akibanikwa vizuri ni kitoweo murua!Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu
Yote ni Katiba mpya kila palipo na mkusanyiko wa watu wengi waahalifu hawawezi kukosa mbona CCM kuna mafisadi na Magenge ya Kialifu na Watu wema bado wamo CCM hiyo sioNdyo maana mlienda kuitafuta katiba kwenye maduka ya simu? Mkaenda hadi kwa shilole kutafuta katiba mpya?
Katiba ya Samia ni jina tuu la katiba kama ilivyo katiba ya Warioba, katiba ile I get okay ingekuwa katiba ya JK, alipoingia JPM, ilikuwa alete katiba ya Magufuli, Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya! kwa bahati mbaya Mungu akamtwaa kabla ya kutupatia katiba mpya, hivyo sasa anayetupatia katiba mpya ni Rais Samia Suluhu Hassan, hii hii itakuwa ni katiba ya Samia!.Inayohitajika ni Katiba ya Wananchi, sio katiba ya Samia...wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa
1. Mwamba yale hayakuwa maandamano, zile ni vurugu zilizoratibiwa kwa nguvu na zikashughulikiwa kwa nguvu.Yote ni Katiba mpya kila palipo na mkusanyiko wa watu wengi waahalifu hawawezi kukosa mbona CCM kuna mafisadi na Magenge ya Kialifu na Watu wema bado wamo CCM hiyo sio
Hoja hakuna maandamano ambayo yanakosa uhalifu
Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu