Tukio la Lissu ni 'game changer' kwenye siasa za Tanzania

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili halitawaacha salama wajipange kama hawajajipanga,



Baada ya Kenya sasa linakwenda kuwa exposed internationally, lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitataka kujua kwa undani sababu ya Lissu kupigwa risasi. Believe me Lissu sio mtu wa kunyamaza atasema kila kitu hadi kuwataja waliohusika kwa majina mtashangaa. Tulieni, Lissu sio Roma akirudi atazungumza kila kitu, "Mwenyekiti, I survived to tell a tale, keep up fighting", ataweka wazi kuanzia makinikia ya Acacia hadi bombardier ya Canada na mengine yaliyosababisha yeye kupigwa risasi.

Vyombo vya habari vya huko havitaishia hapo vitakwenda kiwandani Canada kutafuta ukweli, vitakwenda Barrick kutafuta ukweli na mambo mengine tusiyoyajua yatajulikana stay tuned. Tutegemee kumuona Lissu akihojiwa na waandishi mashuhuri duniani kama kina Richard Quest, Christiane Amanpour, Shaka Ssali nk.

Nilisema na narudia kusema tena Bashite atakuja kumponza rais Magufuli, nafikiri hata yeye sasa atakuwa ameanza kujuta kuwatumia watu wenye zero brain kwenye mipango yake ambao wanatumia nguvu kuliko akili.

Nifuatilie kwenye thread hii,,
Kama Rais Magufuli anamtumia Makonda kulipiza kisasi anakosea sana

Kwa mliopata bahati ya kusikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe jana, kwenye matamishi yake alikuwa bold alisema tukio hili limewaongezea ujasiri 'hawaogopi kufa lakini hawataki kufa kijinga na hawamuogopi mtu yeyote'. Kwangu yale yalikuwa matamshi ya kijasiri. Inaonekana siasa za Chadema zitabadilika baada ya tukio hili, mimi naweza kusema Tukio la Lissu "is a game changer" kwenye siasa za Tanzania and CHADEMA won't be the same again.
 
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili halitawaacha salama wajipange kama hawajajipanga, Chadema wameamua na Lissu ameamua iwe isiwe ukweli utawekwa wazi.

Baada ya Kenya sasa linakwenda kuwa exposed internationally, lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitataka kujua kwa undani sababu ya Lissu kupigwa risasi. Believe me Lissu sio mtu wa kunyamaza atasema kila kitu hadi kuwatisha waliohusika kwa majina. Tulieni, Lissu sio Roma akirudi atazungumza kila kitu, ataweka wazi kuanzia makinikia ya Acacia hadi bombardier ya Canada na mengine yaliyosababisha yeye kupigwa risasi.

Vyombo vya habari vya huko havitaishia hapo vitakwenda kiwandani Canada kutafuta ukweli, vitakwenda Barrick kutafuta ukweli na mambo mengine tusiyoyajua utajulikana stay tuned. Tutegemee kumuona Lissu akihojiwa na waandishi mashuhuri duniani kama kina Richard Quest, Christiane Amanpour, Shaka Zulu nk.

Nilisema na narudia kusema tena Bashite atakuja kumponza rais Magufuli, nafikiri hata yeye sasa atakuwa ameanza kujuta kuwatumia watu wenye zero brain kwenye mipango yake ambao wanatumia nguvu kuliko akili.

Nifuatilie kwenye thread hii,,
Kama Rais Magufuli anamtumia Makonda kulipiza kisasi anakosea sana

Kwa mliopata bahati ya kusikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe jana, kwenye matumishi yake alikuwa bold alisema tukio la hili limewaongezea ujasiri 'hawaogopi kufa lakini hawataki kufa kijinga na hawamuogopi mtu yeyote'. Kwangu yale yalikuwa matamshi ya kijasiri. Inaonekana siasa za Chadema zitabadilika baada ya tukio hili, mimi naweza kusema Tukio la Lissu "is a game changer" kwenye siasa za Tanzania and CHADEMA won't be the same again.
Haka Katabia Kachafu Lazima Kokomeshwe ' Keeping and Shielding Thugs in The Country, it is a shame'
 
maneno ya wakosaji mnajipiga risasa kutafuta kick za kisiasa na kutafuta huruma ya wananchi
Si ndiyo maana tunataka FBI ama Scotland Yard waje ili CHADEMA waumbuke wakijulikana kama wao ndiyo walimpiga risasi Lissu, kwa nini CCM ndiyo hamtaki kina Mbowe waumbuliwe?

Halafu wewe ujue kwamba CHADEMA "wamejipiga" risasi lakini IGP Siro na Waziri Mwigulu hawajui. Unadhani kama wewe mwananchi wa kawaida tu unajua kwamba kumbe ni CHADEMA ndiyo waliompiga Lissu risasi lakini wenye wajibu huo hawajui, unadhani Siro na Mwigulu wana sifa ya kuendelea kuwa kwenye nafasi zao?
 
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili halitawaacha salama wajipange kama hawajajipanga, Chadema wameamua na Lissu ameamua iwe isiwe ukweli utawekwa wazi.

Baada ya Kenya sasa linakwenda kuwa exposed internationally, lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitataka kujua kwa undani sababu ya Lissu kupigwa risasi. Believe me Lissu sio mtu wa kunyamaza atasema kila kitu hadi kuwataja waliohusika kwa majina mtashangaa. Tulieni, Lissu sio Roma akirudi atazungumza kila kitu, ataweka wazi kuanzia makinikia ya Acacia hadi bombardier ya Canada na mengine yaliyosababisha yeye kupigwa risasi.

Vyombo vya habari vya huko havitaishia hapo vitakwenda kiwandani Canada kutafuta ukweli, vitakwenda Barrick kutafuta ukweli na mambo mengine tusiyoyajua yatajulikana stay tuned. Tutegemee kumuona Lissu akihojiwa na waandishi mashuhuri duniani kama kina Richard Quest, Christiane Amanpour, Shaka Zulu nk.

Nilisema na narudia kusema tena Bashite atakuja kumponza rais Magufuli, nafikiri hata yeye sasa atakuwa ameanza kujuta kuwatumia watu wenye zero brain kwenye mipango yake ambao wanatumia nguvu kuliko akili.

Nifuatilie kwenye thread hii,,
Kama Rais Magufuli anamtumia Makonda kulipiza kisasi anakosea sana

Kwa mliopata bahati ya kusikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe jana, kwenye matumishi yake alikuwa bold alisema tukio hili limewaongezea ujasiri 'hawaogopi kufa lakini hawataki kufa kijinga na hawamuogopi mtu yeyote'. Kwangu yale yalikuwa matamshi ya kijasiri. Inaonekana siasa za Chadema zitabadilika baada ya tukio hili, mimi naweza kusema Tukio la Lissu "is a game changer" kwenye siasa za Tanzania and CHADEMA won't be the same again.
......thinking of a masterplan, it aint nuthing but sweat inside your mind, so you dig into your mind, but all ideas are spent, exhausted, you did deeper; then you come up with some shit like this.......!
Rakim.

Tatizo lenu mnadhani Tanzania ni super power duniani.
 
Quinine unamaanisha we are not travelling outside our borders because we have been preparing for not to travel........after some very bad deeds? I gotcha fella......
 
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili halitawaacha salama wajipange kama hawajajipanga, Chadema wameamua na Lissu ameamua iwe isiwe ukweli utawekwa wazi.

Baada ya Kenya sasa linakwenda kuwa exposed internationally, lazima vyombo vya habari vya kimataifa vitataka kujua kwa undani sababu ya Lissu kupigwa risasi. Believe me Lissu sio mtu wa kunyamaza atasema kila kitu hadi kuwataja waliohusika kwa majina mtashangaa. Tulieni, Lissu sio Roma akirudi atazungumza kila kitu, "Mwenyekiti, I survived to tell a tale, keep up fighting", ataweka wazi kuanzia makinikia ya Acacia hadi bombardier ya Canada na mengine yaliyosababisha yeye kupigwa risasi.

Vyombo vya habari vya huko havitaishia hapo vitakwenda kiwandani Canada kutafuta ukweli, vitakwenda Barrick kutafuta ukweli na mambo mengine tusiyoyajua yatajulikana stay tuned. Tutegemee kumuona Lissu akihojiwa na waandishi mashuhuri duniani kama kina Richard Quest, Christiane Amanpour, Shaka Ssali nk.

Nilisema na narudia kusema tena Bashite atakuja kumponza rais Magufuli, nafikiri hata yeye sasa atakuwa ameanza kujuta kuwatumia watu wenye zero brain kwenye mipango yake ambao wanatumia nguvu kuliko akili.

Nifuatilie kwenye thread hii,,
Kama Rais Magufuli anamtumia Makonda kulipiza kisasi anakosea sana

Kwa mliopata bahati ya kusikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe jana, kwenye matumishi yake alikuwa bold alisema tukio hili limewaongezea ujasiri 'hawaogopi kufa lakini hawataki kufa kijinga na hawamuogopi mtu yeyote'. Kwangu yale yalikuwa matamshi ya kijasiri. Inaonekana siasa za Chadema zitabadilika baada ya tukio hili, mimi naweza kusema Tukio la Lissu "is a game changer" kwenye siasa za Tanzania and CHADEMA won't be the same again.

Richard Quest?? Anamuhoji Tundu lissu?? Kuhusu uchumi au utalii??
Hata hujui huyu jamaa huwa anahoji mambo gani!
 
......thinking of a masterplan, it aint nuthing but sweat inside your mind, so you dig into your mind, but all ideas are spent, exhausted, you did deeper; then you come up with some shit like this.......!
Rakim.

Tatizo lenu mnadhani Tanzania ni super power euniani!
point yako ni ipi sasa...
 
Back
Top Bottom