Tumkomoeni Heche

Tumkomoeni Heche

Kuna watu humu wanasema Heche anatumia mbinu mbali mbali kukwamisha LISSU Asitoke ili kwa kuwa yeye anafaidika kisiasa
Njia na nyepesi sana ni kumtoa Lissu mahabusu ili Heche asifaidike tena na aporomoke Kabisa kisiasa.
Au njia nini ugumu wake?
Ccm ni genge la wapumbavu sana Yani yakiwa yanaongea unaona yanaongea matahila ndio maana lichama lao limekufa.
 
Chadema wawe makini sana kwa sasa CCM wamerudi kwenye mkakati wa siasa za kupiga propoganda badala ya kuteka na kumtumia msajiri ambako kimsingi walichukiwa na wananchi,hili la propoganda ndiyo siasa yenyewe,CDM wawe makini sana na CCM wako vizuri pia kwenye hili na nyenzo za propoganda wanazo za kutosha. Wanaweza kusambaratishwa vizuri CDM kama walivofanya kwa TLP,NCCR na CUF.
 
1000199661.jpg
 
Kuna watu humu wanasema Heche anatumia mbinu mbali mbali kukwamisha LISSU Asitoke ili kwa kuwa yeye anafaidika kisiasa
Njia na nyepesi sana ni kumtoa Lissu mahabusu ili Heche asifaidike tena na aporomoke Kabisa kisiasa.
Au njia nini ugumu wake?
Wapuuzi mara nyingi utafuta misemo ya kipuuzi ku-justify upuuzi wao ili kuendeleza mateso kwa wengine
 
Chadema wawe makini sana kwa sasa CCM wamerudi kwenye mkakati wa siasa za kupiga propoganda badala ya kuteka na kumtumia msajiri ambako kimsingi walichukiwa na wananchi,hili la propoganda ndiyo siasa yenyewe,CDM wawe makini sana na CCM wako vizuri pia kwenye hili na nyenzo za propoganda wanazo za kutosha. Wanaweza kusambaratishwa vizuri CDM kama walivofanya kwa TLP,NCCR na CUF.
Hizi siasa hawaziwezi, ndoa zilizowashinda wakaingia kwenye utekaji na ubambikaji kesi.
 
Chadema wawe makini sana kwa sasa CCM wamerudi kwenye mkakati wa siasa za kupiga propoganda badala ya kuteka na kumtumia msajiri ambako kimsingi walichukiwa na wananchi,hili la propoganda ndiyo siasa yenyewe,CDM wawe makini sana na CCM wako vizuri pia kwenye hili na nyenzo za propoganda wanazo za kutosha. Wanaweza kusambaratishwa vizuri CDM kama walivofanya kwa TLP,NCCR na CUF.
Inawezekana ila kwa sasa uimara wa CDM unasimama kwa imani kubwa ya watu na uwezo wa watu wanaoiongaza nje hapo ingelikufa kitambo sana.
 
Back
Top Bottom