Mbunge wa zamani wa Kahama, James Lembeli, amesema kuwa hakuna neema ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), hivyo wanaoendela kukiunga mkono chama hicho wasitarajie maisha bora.
Ameyasema hayo...
Wasalaam,
Juzi hotuba ya Mh.Rais kuna baadhi ya watu wanaiponda, mimi nashangaaa sana hivi watanzania tukoje? Nchi hii jamani tulifikia pabaya sana kwa serikali kuendeshwa kwa ghiliba, uongo...
Wanajamvi hili swala la mpaka wa ziwa Nyasa kati ya TZ na Malawi tusilichukulie lelemama, kwani wenzetu wako serious zaidi ya tunavyofikiri.
Kwa lugha yao wamesema hivi: “Timba samachepa ndi...
KWA UFUPI
NI DK SALIM,NCHIMBI,MWINYI,MIGIRO NA WASSIRA
UCHAGUZI wa wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanywa na Halmashauri Kuu (NEC) ya chama hicho Jumatatu wiki hii mjini...
Mkuu wa wilaya ya Mbulu, Chelestino Mofuga akizungumza na wananchi wa kijiji cha Gidmadoy baada ya kusikiliza mgogoro wa mapato na matumizi uliodumu tangu 2014 hadi 2016. Mkuu wa Wilaya aliagiza...
Ule utafiti kwamba kwenye kila watanzania watano mmojawapo ni kichaa unawahusu pia na wanasiasa? Wabunge wapo zaidi ya mia tatu, ukigawanya kwa tano unapata makundi zaidi ya sitini ya watu watano...
[emoji101][emoji101][emoji115]Hotuba rasimi ya mh.Rwakatare kwa jpm bukoba,kile kipande kilichokuwa kinarushwa ktk mitandao nikama kilikatwa kwa lengo maalum,nahisi ni watu wa mtaa wa Lumumba.
Ndugu zangu tangu Mh raisi afanye ziara Kagera imenipa kujiuliza maswali mengi sana.
kauli kama..kwani serikali ndo ilileta tetemeko? wapi mliwahi kuona serikali inajenga nyumba za wananchi...
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa Chama, Dkt. Vincent Mashinji ni miongoni wa wageni mashuhuri walioalikwa kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais Mteule wa Ghana, Nana...
God forbids! Lakini, yawezekana kukatokea kama yale ya tetemeko la Kagera au yanayofanana na yale. Kutaundwa tena Kamati ya Maafa. Kutafunguliwa tena akaunti ya kuchangia waathirika. Je...
Nimesikia serikali ikitoa mfano kuwa hata Italia serikali haikuwajengea wananchi makazi yao. Lakini kauli hiyo si kweli kwani serikali ya Italia imesema itajenga kila kitu upya katika eneo...
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha Dokta Frida Mokiti amesema kuwa uhaba wa vituo vya afya katika maeneo ya pembezoni mwa miji umekua ukichangia vifo vya mama wajawazito na watoto kutokana na kutembea...
Niliwahi kusema hapo mwanzoni hutuba za mtukufu Rais JPM nyingi zina walakini katika
dunia ya leo .Upeo wake katika masuala ya kimataifa unatia shaka ndio maana safari za nje anazikacha. Hotuba...
Gazeti la leo Mwananchi pg 3, limemnukuu Katibu Tawala Wilaya ya Monduli, Ndg Robert Siyantemi "akishauri" utafiti wa kisayansi ufanyike kuona uwezekano wa kutumia damu za wanyama kuwaongezea...
Mambo ya aina hii hayana nafasi sana katika dunia ya leo ni doa kwa serikali yoyote ilie duniani na pia ni hatari kwa taswira ya nchi na kiongozi wake.
Dunia ya leo inasisitiza maswala ya...
Wanaukumbi
Lengo la Mada hii ni kuulizia walipo Legal and Human Right Centre kutoa hata neno moja lisemalo 'sio tu haki itendeke.. ionekane ikitendeka.'
Itakuwa sio kuingilia mhimili ule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.