Lembeli: Hakuna neema ndani ya CCM, wanaoendelea kukiunga mkono wasitarajie maisha bora

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Mbunge wa zamani wa Kahama, James Lembeli, amesema kuwa hakuna neema ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), hivyo wanaoendela kukiunga mkono chama hicho wasitarajie maisha bora.

Ameyasema hayo katika uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Isagehe wilayani Kahama, Lembeli alirudia kusema kilichomtoa CCM na kujiunga na Chadema ni kutokana na kukithiri kwa rushwa na unafiki ndani ya chama tawala.
 
Mbunge wa zamani wa Kahama, James Lembeli, amesema kuwa hakuna neema ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), hivyo wanaoendela kukiunga mkono chama hicho wasitarajie maisha bora.

Ameyasema hayo katika uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Isagehe wilayani Kahama, Lembeli alirudia kusema kilichomtoa CCM na kujiunga na Chadema ni kutokana na kukithiri kwa rushwa na unafiki ndani ya chama tawala.

kwa hiyo huko aliko kuna malaika sio akina mbowe , lisu lema
 
Back
Top Bottom