Uchaguzi ULIO mweka RAIS Samia madarakani umeondoka na uhai wa Binti mdogo sanaaa
Mama yake anauzunika mnoooo
Mtoto amefikisha siku 60 Alikufa akiomba msamaha kwa Yessu amsamehe kama amemkosea...
Bonge wa Zimbabwe mwenyewe alipost picha akiwa na Mama.
Rostam alikiri kununua mgodi wa makaa ya mawe.
Tulitumia VPN na tukawa tunaingia bila tatizo JamiiForums.
Vpn ni salama zaidi kuliko hata...
Naweza nilaumiwe au nisilaumiwe
NATAMBUA wahaya WAMEISHA ila wamebakia
Ta Bagonza na proffesa TIBAIJUKA hakika mmeupiga mwingi kwa Mwaka 2025.
Mbalikiwe
Haya wewe
Mzaramo,mmakonde sema kabila...
Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe ufalme wako ufike utakalo lifanyike duniani kama mbinguni utupe leo mkate wetu wa kila siku utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea...
..Kuna tatizo la upotoshaji, na Watz kutojiongeza.
..Mauaji ya Rwanda yalifanywa na genge la Interahamwe.
..Hao Interahamwe walikuwa ni umoja wa vijana wa chama tawala cha Rwanda wakati huo...
Kuna picha zinasambaa huko social media zikionyesha vijana wakiwa wamepandisha bendera ya Tanganyika.
Nafanyia utafiti kuhusu uhakika wa picha hii. Kama tumeanza kufikia hapa, hii itakuwa ni...
Maria Sarungi kajificha nje ya nchi hakuna hata kwenye Msiba wa baba yake kwa kuhofia usalama wake ?
Mange Kimambi hawezi kuja Tz hata kwa dawa kwa kuhofia usalama wake punde tu atakapo kanyanga...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanaharakati walijipanga kuhamasisha vurugu Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kuharibu uchaguzi mkuu ili wasipatikane viongozi na kutoa nafasi ya maandamano...
Salaam, Shalom.
Ili pawe na Amani, huna budi kuwatisha waovu, KAZI hii ya kuhakikisha waovu hawachezei Sharubu za Serikali, Mungu alimsaidia Hayati Magufuli kuifanya kazi hiyo kwa ufasaha...
Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli vilivyotelekezwa.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU&...
Salamaleko!
1. Gen z bado hamjui nini kilitokea hapo nyuma. Hamjui tulieni.
2. Kama mnataka kujifunza kaeni hapa nitawafunza. Lakini nawajua kwa ubishi wenu. Mniambie mnataka style ipi.
3...
Simbachawene analeta usanii. Yuko pale kwa vile polisi ni makatili. unadhani ataweza kufanya reforms?
BILA pressure ya wananchi na external pressure hakuna kitu!
Time will tell!
Angalia wale vijana waliokuwa wanabebana huku wame vunjwa vunjwa mikono na miguu, wanachadema wamewachangia milioni 10, na 15 mbebaji na mbebwaji respectively!
Haya matendo makuu yanafanywa na...
Wakuu,
Kutoka Kisiwa cha Amani mpaka Kisiwa cha Utekaji! Mpaka lini Watanzania tutaacha kuishi wa hofu?!
====
Ameandika Liberatus mtandaoni;
"Diaspora mwenzetu mkazi wa USA— Thadei Kweka...
Anaandika Aloyse Nyanda Mtozi kupitia ukurasa wake wa Instagram:
Je Fr Kitima anachuki na serikali au ana chuki na Rais Samia au anachuki na Uislamu?
Jibu ni HAPANA ila ukweli ni kwamba Kitima...
Nilishawai leta Uzi mmoja kuwa Kwa washindi wa tuzo ya amani ya Nobel wengi walipitia mazito Kama alivyopitia Lissu.
Sasa potential candidates wa tuzo ya Nobel Kwa 2026, Jina la Lissu linatajwa...
Ukikaa na watu walioshuhudia tukio ghasia za kuukataa utawala wa rais Samia ile Oktoba 29 mpaka Oktoba 31 utapata picha kamili kuwa watu wahataki kutawaliwa na huu utawala.
Watu wameshuhudia...
Yaani Safari zinasitishwa kabisa na watu wana amani. Sababu wao wanatumia ndege.
Watu wanajenga reli hawakujua hii sehemu gani reli ipite juu au chini? Hawakujua Nchi yetu maji yanajaa mabondeni...
Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiongea na wananchi wa Bunju, ametoa wito kwa Mamlaka ya Maji DAWASA kutoa bili zenye uhalisia kutokana na watu kukosa maji.
Pia soma > GE2025 - Mamlaka za maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.