Usitutie katika kishawishi lakini utuopoe Maovuni Amina!

Usitutie katika kishawishi lakini utuopoe Maovuni Amina!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
39,118
Reaction score
31,621
Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe ufalme wako ufike utakalo lifanyike duniani kama mbinguni utupe leo mkate wetu wa kila siku utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea usitutie katika kishawishi lakini utuopoe maovuni Amina.

Hii ni sala muhimu na nzito sana kwa wale waumini wakatoliki...tuisali sana na kuirudia mara nyingi hususani katika nyakati hizi katika nchi yetu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Kwa imani kubwa niliyonayo Sala hii ikisaliwa na kila muumini hakuna linaloshindikana.
 
Ushinde Ubaya kwa Wema zaidi....
 
Kwa waamini wa kweli ubaya huzidiwa na wema
 
Amri na iliyo kuu na mpya kuliko zote ni Upendo ...Je tunao upendo na je tunaonesha upendo?
 
Back
Top Bottom