Historia ni mwalimu mzuri, na kuna wakati ni vigumu kuikana.
Baada ya kusomwa taarifa mbili za Kamati za Makinikia pameibuka manabii na mashujaa wa nchi wakidai "..Rais Magufuli alikuwa wapi...
BREAKING NEWS
JARIBIO LA MAALIM SEIF KUFUKUZA WABUNGE WAWILI - SAKAYA NA NACHUMA LAKWAMA.
Msajili wa Vyama vya siasa nchini amelipiga chini jaribio la katibu mkuu wa CUF kumfukuza naibu katibu...
Mtikisiko kibano kipya cha Escrow
ippmedia.com/sw/habari/mtikisiko-kibano-kipya-cha-escrow
Hali hiyo, kwa mujibu wa chanzo cha Nipashe, tayari imezua hofu kubwa na kuwatikisa baadhi yao huku...
::TAARIFA::
Taarifa kwa Wanachama wa Chadema na Wananchi wa Jimbo la Kawe, Mhe Halima Mdee Mbunge wa Kawe aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi la Police Kituo cha Osterbay tokea siku ya Jumanne jioni...
Ningekuwa Rais Magufuli, Ninge.......
Kwanza kabisa, ningehakikisha wafanyakazi wote wanaoacha kazi wenyewe (resignation), na wanaofukuzwa kazi, wanapewa fedha zao au FAO LA KUJITOA toka mifuko...
Nina kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wangu mpendwa Dk. John Pombe Magufuli kwenye kila hatua anayopiga anapoiongoza nchi yetu ya Tanzania, Nina kila sababu ya kubaki na Rais Magufuli...
RICHARD WILLIAMS
Chief Operating Officer
Richard Williams was appointed Chief Operating Officer of Barrick in August 2015. In accordance with the Company’s decentralized operating model, he...
UBUNGO NA JIJI LA DAR ES SALAAM INAVYOATHIRIWA NA HUJUMA YA UKWAMISHWAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA BENKI YA DUNIA
Assalaam Alaykum Ndugu wananchi wote. Napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha...
Kwa mara ya pili nakupongeza Raisi Mtukufu Pombe kwa kufanikiwa kusababisha jopo la Wanaume kuja kushiriki tafsiri za sheria na wanasheria wetu amba mara nyingi walijikuta hawana weledi kumzidi...
Kama Polisi wakiamua kukomaa na lissu ...yaani kuomba kibali mahakamani na hatimaye kuruhusiwa kumpima mkojo basi ni wazi kuwa watafanikiwa kupata ushahidi wa wanachotarajia(kama kweli kipo)...
Kihistoria Lipumba hakuwahi kuwa mwanasiasa bali alikuwa anatumiwa na chama cha siasa kufanikisha malengo yake ya kisiasa. Lakini kwa bahati mbaya sana chama kilichokuwa kinamtumia kwa mambo ya...
Katibu Mkuu wa wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema ameapa kuwashughulikia watumishi wachache chini ya wizara yake ambao bado wanaendekeza maisha ya ujanja ujanja kazini...
Umezuka mtindo kwa Waziri mkuu kutoa matamko kwa taasisi ya kuzuia Rushwa kuwakamata watu kwa majina ili kufanya uchunguzi kwenye kazia mbalimbali kama ilivyo tokea huko Mbeya.
Ni vema mtindo huu...
Wazazi wamefanya kazi nzuri, wamejenga nyumba yao na watoto wakazaliwa, wakakua na kujivunia matunda ya ujenzi uliofanywa na wazazi wao. Hata hivyo wazazi kwa hila zao, walipojihisi wamechoka...
Bipartisanship Ni neno la kiingereza linalomaanisha uwepo wa vyama vinavyopingana kuingia makubaliano ama kushirikiana katika kusimamia jambo fulani litakaloliletea tija taifa kwa ujumla.
Wabunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.