Kuna habari kwamba Benki ya waalimu Tanzania iliikopesha CCM mabilioni ya shilingi wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015
Pia kuna tetesi kwamba kila wakijaribu kufuatilia malipo,wanakutana NA vigingi...
Naamini mko salama kwa uweza wa Mungu baba.
Ninapoandika hapa najaribu tu kuwasilisha mawazo yangu hapa kupitia huo msemo wa wahenga,nikiifikiria CUF na masaibu yake.
Lipumba alipojiuzuru mliona...
Nyaraka zaonyesha kila hatua aliweka mikono yake
Uthibitisho wa kuibeba Richmond watolewa peupe
Kumbe ndiye aliipora Tanesco kazi ya kusaka mzabuni
Wizara ya Nishari na Madini ilisubiri maamuzi...
Sakata la madiwani watatu waliojiuzulu wa chama Cha Demokransia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Hai, limechukua sura mpya baada ya kubainika kuwepo kwa tofauti ya majina na kata za madiwani...
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.
Na wajue...
Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua...
Duniani kote vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kufikiri sahihi ndio wamekuwa msaada mkubwa sana kwa mataifa yao.
Marakadhaa vijana wamekuwa mstari wa mbele kupinga aina yeyote ya...
Mahakama ya Kisutu inatarajia kutoa leo uamuzi kuhusu maombi ya dhamana ambayo yaliwasilisha Mahakamani na Mawakili 20 wanaomtetea Mbunge, Mwanasheria, na Raisi wa TLS Mhe Tundu Lissu ambaye...
Vyama vitatu vya wanasheria Afrika vimetoa tamko la pamoja kulaani kukamatwa kwa Rais wa Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), Tundu Lissu alipokuwa akielekea Kigali, Rwanda kwenye mkutano wa...
Kiukweli kwa Sasa unaonekana Shujaa mkubwa Sana kwa Baadhi ya wadau katika taifa hili kwa kupambana na kile unachoita uonevu unaofanywa na serikali ya awamu ya Tano ya Rais Magufuli, japo...
Shikamoo Mh magufuli umewayoosha, umetunyoosha.
Tulizoea kuona picture za viongozi wa juu wq awamu zilizopita wakitanua majuu kwenye likizo(za malipo) zao tusizozielewa elewa kwa pesa zetu wasaka...
FATMA KARUME!
Pamoja na kutofautiana itkadi na huyu mama lakini bado inabidi nikubali kwamba ni kiongozi 'potential' wa nchi hii!
Kutokana na harakati chache ninazoona akishiriki imebidi...
Joshua nasari ni moja kati ya wanasiasa mahiri kwenye kuhakikisha ahadi zake zinatimia na sasa dogo ameshatekeleza mengi aliyoahidi.
Zitto kabwe kama alivyoonywa na wananchi wa Kigoma kuwa kama...
Ndg , wana Jf kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wafanyakazi selikarini kugombea nafasi mbalimbali ndani ya vyama vya siasa, mfano mwalimu ambaye ni mwajiriwa selikarini anagombea uwakilishi wa...
Wananchi wa Ikungi waomba msaada kwa mbunge wa CCM Mheshimiwa Elibariki Kingu, baada ya kutelekezwa na mbunge wao Tundu Lissu kwa muda mrefu .
Baada ya maombi hayo mbunge Kingu aliridhia na...
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini imekamata makontena 10 yaliyokuwa na kemikali aina ya ethanol yenye ujazo wa lita 200000 (Laki mbili) kupitia bandari ya Dar es salaam...
Waziri mkuu mwenye rekodi ya kukaa madarakani Kwa kipindi cha miaka kumi na baadae kubatizwa jina la Mr zero na wafuasi wa Chadema, sasa ameibuka.
Sumaye ambae alihama ccm na kujiunga na chadema...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ambayo iliwaacha Watu wengi midomo wazi huku wengine wakivunja mbavu kwa vicheko Mwanasiasa maarufu na mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya ambaye pia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.