Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Kuna habari kwamba Benki ya waalimu Tanzania iliikopesha CCM mabilioni ya shilingi wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015 Pia kuna tetesi kwamba kila wakijaribu kufuatilia malipo,wanakutana NA vigingi...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Naamini mko salama kwa uweza wa Mungu baba. Ninapoandika hapa najaribu tu kuwasilisha mawazo yangu hapa kupitia huo msemo wa wahenga,nikiifikiria CUF na masaibu yake. Lipumba alipojiuzuru mliona...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyaraka zaonyesha kila hatua aliweka mikono yake Uthibitisho wa kuibeba Richmond watolewa peupe Kumbe ndiye aliipora Tanesco kazi ya kusaka mzabuni Wizara ya Nishari na Madini ilisubiri maamuzi...
2 Reactions
133 Replies
15K Views
Hii inaingia akilini kweli? Mamadou Anthony Diallo bado yumo na anatarajia kuchukua fomu kugombea uenyekiti wa ccm Mkoa wa mwanza
1 Reactions
8 Replies
1K Views
  • Redirect
Sakata la madiwani watatu waliojiuzulu wa chama Cha Demokransia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Hai, limechukua sura mpya baada ya kubainika kuwepo kwa tofauti ya majina na kata za madiwani...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Huyu Fatuma Karume naye inafaa ashitakiwe kwa kuvitishia vyombo vya dola
0 Reactions
Replies
Views
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje. Na wajue...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua...
28 Reactions
87 Replies
10K Views
Duniani kote vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kufikiri sahihi ndio wamekuwa msaada mkubwa sana kwa mataifa yao. Marakadhaa vijana wamekuwa mstari wa mbele kupinga aina yeyote ya...
13 Reactions
73 Replies
4K Views
Mahakama ya Kisutu inatarajia kutoa leo uamuzi kuhusu maombi ya dhamana ambayo yaliwasilisha Mahakamani na Mawakili 20 wanaomtetea Mbunge, Mwanasheria, na Raisi wa TLS Mhe Tundu Lissu ambaye...
51 Reactions
455 Replies
59K Views
Vyama vitatu vya wanasheria Afrika vimetoa tamko la pamoja kulaani kukamatwa kwa Rais wa Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), Tundu Lissu alipokuwa akielekea Kigali, Rwanda kwenye mkutano wa...
12 Reactions
123 Replies
13K Views
Kiukweli kwa Sasa unaonekana Shujaa mkubwa Sana kwa Baadhi ya wadau katika taifa hili kwa kupambana na kile unachoita uonevu unaofanywa na serikali ya awamu ya Tano ya Rais Magufuli, japo...
14 Reactions
157 Replies
10K Views
Shikamoo Mh magufuli umewayoosha, umetunyoosha. Tulizoea kuona picture za viongozi wa juu wq awamu zilizopita wakitanua majuu kwenye likizo(za malipo) zao tusizozielewa elewa kwa pesa zetu wasaka...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Redirect
FATMA KARUME! Pamoja na kutofautiana itkadi na huyu mama lakini bado inabidi nikubali kwamba ni kiongozi 'potential' wa nchi hii! Kutokana na harakati chache ninazoona akishiriki imebidi...
0 Reactions
Replies
Views
Joshua nasari ni moja kati ya wanasiasa mahiri kwenye kuhakikisha ahadi zake zinatimia na sasa dogo ameshatekeleza mengi aliyoahidi. Zitto kabwe kama alivyoonywa na wananchi wa Kigoma kuwa kama...
0 Reactions
2 Replies
522 Views
  • Redirect
Ndg , wana Jf kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wafanyakazi selikarini kugombea nafasi mbalimbali ndani ya vyama vya siasa, mfano mwalimu ambaye ni mwajiriwa selikarini anagombea uwakilishi wa...
0 Reactions
Replies
Views
Wananchi wa Ikungi waomba msaada kwa mbunge wa CCM Mheshimiwa Elibariki Kingu, baada ya kutelekezwa na mbunge wao Tundu Lissu kwa muda mrefu . Baada ya maombi hayo mbunge Kingu aliridhia na...
12 Reactions
153 Replies
13K Views
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini imekamata makontena 10 yaliyokuwa na kemikali aina ya ethanol yenye ujazo wa lita 200000 (Laki mbili) kupitia bandari ya Dar es salaam...
6 Reactions
126 Replies
14K Views
  • Redirect
Waziri mkuu mwenye rekodi ya kukaa madarakani Kwa kipindi cha miaka kumi na baadae kubatizwa jina la Mr zero na wafuasi wa Chadema, sasa ameibuka. Sumaye ambae alihama ccm na kujiunga na chadema...
1 Reactions
Replies
Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ambayo iliwaacha Watu wengi midomo wazi huku wengine wakivunja mbavu kwa vicheko Mwanasiasa maarufu na mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya ambaye pia ni...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom