More on the way......
Siandiki sana good news zinakuja.....
In a few days....Siku chache tu au masaa machache...
Anzeni countdown....
Siandiki sana nitaharibu....
Siri ni namba
Katika hali ya kawaida, unapositisha huduma kwa watu unowahudumia au ambao ndio wanakufanya uwe kazini na upate kipato, busara inaelekeza utoe taarifa kwao tena uombe na radhi na utamke bayana ni...
Kauli aliyoitoa jana kwamba jeshi la polisi halihitaji watu wenye ufaulu mkubwa kwasababu kazi ya polisi ni kucheza gwaride na kuilinda Benki ni ya udhalilishaji sana.
Mimi wiki kadhaa nyuma...
Ndugu watanzania, najua mnafuatilia kwa karibu kinachoendelea Irani. Waandamanaji wameshakamata maeneo muhimu ya utawala wa kiislamu wa Irani mfano. Vituo vikuu(headquaters) vya polisi, airport na...
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.
Nawapa assignment kwa...
Tumerudi kulekule dollar kwa makampuni Tanzania wanabadilisha sasa kwa 2900 wakati serikali imeshukilia 2450 kuna upungufu wa dollar kwa kiasi kikubwa sana. Tanzania ni kama zimbabwe wakati wa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kama hujapofushwa na kupofuka Macho yako kwa sababu ya chuki zako binafsi na roho mbaya yako inayoweza ikawa imejengeka kwenye misingi ya Ukabila ,Udini ,ukanda na jinsia...
Narudia Tena hutoboi
Jisafishe kwa damu ya October 29
Wafungwa wote wa kisiasa watakutesa Sana.
Utekaji utakutesa sana
Jioshe warudishwe waliopotea hata Kama Ni mafuvu yao.
Mrudie Mungu wako...
Moja kati ya majukumu ya makonda ni kusimamia utafiti na mafunzo kwa wana CCM.
Lakini huyu ndugu ana tuhuma ya vyeti feki, je ataweza kujua afanyie utafiti nini? Na mafunzo, mtu mwenye tuhuma ya...
Meya wa Ubungo Mh. Boniface Jacob anakusudia kufungua shauri mahakamani la kumtaka mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuonesha vyeti vyake ili kuondoa utata uliojitokeza hivi karibuni dhidi ya kiongozi...
Kuna vitu huwa sielewi hapa. Mwaka fulani ilitajwa orodha ya mafisadi wa elimu waliokuwa Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge alikuwa Marehemu Mzee Samwel Sita (Mwenyezi...
Najua fika haitafanyika hivyo. Ila si vibaya kutoa ushauri kwa vile yaelekea wenye kazi hiyo aidha wanaogopa, wanaona ni kazi bure au hawamtakii mema rais wetu. Si kwamba hawajui.
Hata saa hii...
Kufuatia matukio mbalimbali yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi na kuibua hali ya sintofahamu kwa umma na jumuiya za kimataifa, Serikali kupitia Rais Samia Suluhu Hassan iliunda Tume kwa ajili...
Kada maarufu wa CCM leo amefurahia kwa bashasha zote.
Amempigia simu Paul Makonda na kumpongeza kwa kupata uteuzi wa heshima.
Mbali na hilo amefurahia CCM kupata mchapa kazi na jembe.
Kuwa advocate wa haki na kuwa na soft tone with the mass kua mkali na mapolisi na utendaji wao wa kazi usiozingatia PGO imemponza. Alionesha kuwa na mrengo wa kulia wa sympathy with people...
1.Tekeleza miradi ya maendeleo kwa zaidi ya asilimia 90 ambayo uliahidi katika ilani ya CCM
2. Fanya restructuring katika vyombo vya ulinzi na usalama hass polisi .nimeona umemuondoa waziri wa...
Mwenyekiti wa baraza la vijana CHADEMA(BAVICHA) Patrobasi Katambi inadaiwa anashikiliwa na polisi, bado tunafatilia sababu za kukamatwa kwake na viongozi wengine, lakini kwa tip iliyopo ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.