Kama Paul Makonda alifoji jina na cheti basi mchunguzeni na Amos Makalla

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wa sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Pedesheee Amose Makarraaaa , muzee wa mvomeloooooo
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Siti ya mbereeeeee😃😃 leta mambo hayoo
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Mwacheni ale mema ya nchi.
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.

Usiku wa deni haukawii kucha, weka ushahidi mkuu
 
Hii wala si kashifa kwa hapa Tanzania.
*Waziri wa fedha anatumia jina la mtu.
*Lukuvi amekaa serikalini mpk amezeeka lkn hana cheti.
*Mary Nagu anaitwa Dr...lkn hakuna kumbukumbu mahala popote aliposoma PhD
*Alikuwepo mganga wa kienyeji ambaye hajawahi kukanyaga shule lkn alijiita profesa.
Msukuma hana cheti hata cha shule ya msingi lkn anaitwa Dr.

Suala hili halijaanza leo na kwa Tanzania Wala siyo kashifa. Kuna mtanzania alikuwa anaitwa Msemakweli, aliandika mpk kitabu akiwatuhumu Lukuvi na Nagu. Baadaye akaja Ben Sa8 akahoji PhD ya Magufuli.
 
Paul Makonda alizama kwenye kashfa nzito ya kufoji cheti na jina. Badala ya kuitwa Albert Bashite akaitwa Paul Makonda ikawa ni kasha nzito sana katika mfumo wetu wa elimu.

Nawapa assignment Kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam wa Sasa Amos Gabriel Makalla. Huyu si Makalla wala si Mluguru wa Mvomero anavyojitambulisha. Ni Mnyiramba na Amos Makalla orijinali yupo na analipwa fedha na RC Makalla kila mwezi kumfichia utupu wake. Ukweli nitauweka muda sio mrefu.
Makalla ni jina la kinyiramba,elimu yake ya msingi aliipata shule ya msingi kitongo wilayani nzega,nzega wanyiramba wengi tu
 
Back
Top Bottom