Mimi ni mtumishi wa umma nimeajiriwa mwaka 2013 kama mwalimu.
Nimefundisha somo la hisabati kwa bidii kubwa sana hadi kufika mahali wanafunzi 16 kufaulu kwa daraja...
Benki ya CRDB leo Jumatatu imekabidhi msaada wa Sh100 milioni kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa ofisi za walimu kwa shule za msingi na sekondari...
Watanzania tujifunze kitu kupitia nduli Idd Amin Dada
Niliwahi kukutana na jamaa mmoja mganda huko Kakurezato Japan, tukiwa pamoja mafunzoni na akanishangaza sana kuhusu yule aliyekuwa adui yetu...
WAKATI Ofi si ya Bunge ikisisitiza kuwa fedha zilizochangwa na wabunge kiasi cha Sh milioni 43 kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), tayari...
Utamaduni wa kinafiki wa Kiafrika ni kwamba hutakiwi kuzungumza wakati wa kula. Video hii ni wakati ule Prof.Kabudi akiwa Kabudi hasa, sio huyu wa sasa ambaye hawezi kisema kitu kuhusu madai ya...
Wakuu nawasalim sana,
nimeona sio sahihi mara zote kukosoa bila kutoa direction ya nini tunakitaka ingawa matakwa ya kila mmoja wetu hayawezi kushughulikiwa na yakawa relevance kwa kila mtu...
Yaani fedha za emergence zinafanywa watakavyo na nauhakika kama kutumwa fedha zimetumwa leo. Hakuna TISS ya siku mbili siku hizi.
Ivi kweli mawasiliano na hospital walishindwaje na TLS wakatuma...
Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).
PICHA:
Marehemu Chacha Wangwe...
Mzee Mwiguni George aliyefika katika eneo...
Shirika la Ujasusi la Marekani CIA limeziachia wazi nyaraka zilizokuwa za siri (classified) za kiupelelezi katika nchi ya Tanzania miaka ya 1976.
Ukizisoma sehemu kubwa ya Nyaraka hizi zinahusu...
Wapinza wa Magufuli watakuwa walewale waliomuweka madarakani Na hao hao ndio watakaochangia anguko lake
stay tuned
Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo...
Nianze na hadithi moja aliyopenda kuihadithia baba yangu kabla hajafariki.
Kulikuwa na ndege mzuri sana, alivutia ndege wengine na akasifiwa sana kwa uzuri wake na sauti yake nyororo. Ila sifa...
Katibu Mkuu wa CUF Mhe Maalim Seif akiwa na leo amefika Nairobi Hospital kumjulia hali Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu.
Taarifa rasmi kuhusu hali Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu...
Kuna uwezekano sana wa haya kutokea pasipokuwepo TAHADHARI ya mapema.
√ Watu hawatapenda kuishi katika hali waliyonayo.
√ Wa hawatapenda kuona mikono yao ikifanya maamuzi yatakayowatesa.
√ Watu...
CHACHA WANGWE NA UENYEKITI CHADEMA 2008
Mwaka 2008 ndani ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kulikua na vuguvugu na joto kali la uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chama Taifa na mmoja wapo wa...
Kitendo cha Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga kuzungumzia hali ya usalama nchini na kuweka bayana msimamo wake...
Nimemsikiliza vizuri Bw. Humphley Polepole akizungumzia juu ya uchunguzi huru wa nje juu ya jaribio la mauaji ya Lissu. Polepole amesikika akisema kwamba, CHADEMA wameshazoea kudanganya. Kule...
Habari wakuu,
Napenda kumpongeza mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayoifanya katika taifa hili,najua walio wengi si wote watampongeza katika kazi hii ya kuionyosha nchi ambayo ilikuwa imegubikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.