Get Well Soon The Great Lissu.
There is blood on your land
Thieves and murderes, yeah
Prrrap-a-dup, da-pa-dup-u-dey
Verse 1:
Blood aflow from mountains
Right down to the sea
From Capuchin to...
Ukombozi wa Pili kote Zanzibar na Bara, baada ya kusalitiwa kwa Mapinduzi ya 1964 na Uhuru wa Tanganyika wa 1961 ndio malengo ya mapambano yetu.
1. Kurejesha Zanzibar iliyotawaliwa kijanja na...
Haya ni maswali yanayotakiwa kujibiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge.
Kwamba watu wasiojulikana waliwezaje kupenya mpaka ndani ya Viwanja vya Bunge wakimfuatilia Mhe. Tundu Lissu na dreva...
Tumekuwa tukikerwa sana na Rais wetu anavyoshindwa kutumia lugha ya staha lakini leo mimi sikufurahi kabisa na nimemdharau Rais wetu.
Kauli hii ya "kuwashwa washwa" haikustahili kutolewa...
Moja kati ya sababu za mzee nyerere kufuta demokrasia ya vyama vingi ilikuwa ni kuharakisha maendeleo ya nchi
Nchi ikawa inaenda kwa amri moja na kudumisha fikra za mwenyekiti wa chama...
Sijafahamu lakini nadhani kutakuwa na jambo. Kiuhalisia hakuna waziri anayesikika kwa sasa mpaka unaweza jiuliza waziri wa mambo ya ndani ni nani? unaweza jiuliza maswali hayo kwa wizara mbali...
Polisi popote duniani huanza upelezi siku hiyohiyo ya tukio baada ya kufika eneo la tukio na kama ndio hivyo ni nani aliwaongoza kufanya haya
Ni nani alitoa maelezo ya awali kuhusu tukio kama ni...
Ninasikiliza na kuangalia EATV sasa hivi na Mhe. Tundu Lisu kasema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata.
Jamani Viongozi kama Hawa wanatupeleka wapi. Sisi tunaosoma shule za kata kweli...
Wana JF,
Tunajua kuwa mara baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi kumekuwa na dhana tofauti na hata baadhi ya watu kutuhumu wengine. Kwa kuwa hapa ni pahala pa GT, tunaweza kusukuma fikra na...
Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Chadema Bwana Tumaini Makeni amesema,Katibu Mkuu wa Chama Dkt. Vincent Mashinji, akiambatana na wasaidizi wake kutoka Makao Makuu ya Chama, mchana huu...
#ButWhatDoIKnow
1. Nyumba ya Tundu Lissu pale area D ipo pembeni, karibu sana na nyumba ya Naibu Spika wa bunge.., Je, hawa watu waliweza vipi kufunguliwa geti kuingia na kutoka ASAP baada ya...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa deni la Tsh 424 trilioni inayoidai Migodi ya Bulyanhulu Gold Mine (BGML) na Pangea Minerals (PML) inayoendeshwa na Acacia limekokotolewa na wataalamu...
Anaandika Mbunge Zitto Kabwe.
#HuuSiUtanzania
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mgumu zaidi kwenye maisha yangu ya kisiasa.
Nimetumia muda mwingi nikitafakari na kumfikiria sana mwanasiasa mwenzangu...
*AS WATU WAOVU WATAMBUE KUMUONDOA TUNDU LISU MMOJA KUTAZALISHAKOFU_SHOO: LISSU WENGINE MAELFU.*
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini (KKKT), Askofu Dk Fredrick Shoo amewataka watu waovu...
Kwanini polisi hawakumuoji dereva wa Lissu siku ya tukio?
Polisi walianzaje uchunguzi bila ya kujua jinsi tukio lilivyoanza tokea mwanzo mpaka mwisho? Na mtu pekee wa kuelezea alikua ni dereva...
Kwa ufupi
Mvutano ndani ya CUF umeingia bungeni na kusababisha pande zinazovutana kila moja kuchagua uongozi wake.
Wabunge wa CUF wameonekana kuvurugana bungeni kutokana na mgogoro unaoendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.