Mimi ni mtumishi wa umma nimeajiriwa mwaka 2013 kama mwalimu.
Nimefundisha somo la hisabati kwa bidii kubwa sana hadi kufika mahali wanafunzi 16 kufaulu kwa daraja 'A' na wengine 'B' na wachache C. Kwa wilaya somo langu lilishika nafasi ya pili kwa wanafunzi kupata daraja A nyingi zaidi.
Sasa; kwa hali ilivyo sasa nimeamua kuacha kazi kwa hiyari yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.
Sababu za kuacha kazi:
=> Vyama vya wafanyakazi kutukata makato bila kutusemea/kututetea/ juu ya maslahi yetu, inaonesha wazi CWT wanaogopa kudai madai yetu kwa serikali ya chama cha mapinduzi kwani wengi wao ni viongozi na wanachama wa chama cha mapinduzi pia
Nimefundisha somo la hisabati kwa bidii kubwa sana hadi kufika mahali wanafunzi 16 kufaulu kwa daraja 'A' na wengine 'B' na wachache C. Kwa wilaya somo langu lilishika nafasi ya pili kwa wanafunzi kupata daraja A nyingi zaidi.
Sasa; kwa hali ilivyo sasa nimeamua kuacha kazi kwa hiyari yangu mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote.
Sababu za kuacha kazi:
=> Vyama vya wafanyakazi kutukata makato bila kutusemea/kututetea/ juu ya maslahi yetu, inaonesha wazi CWT wanaogopa kudai madai yetu kwa serikali ya chama cha mapinduzi kwani wengi wao ni viongozi na wanachama wa chama cha mapinduzi pia