MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kuna uwezekano sana wa haya kutokea pasipokuwepo TAHADHARI ya mapema.
√ Watu hawatapenda kuishi katika hali waliyonayo.
√ Wa hawatapenda kuona mikono yao ikifanya maamuzi yatakayowatesa.
√ Watu wengi hawatakubali kukubali tena kuahidiwa ambavyo hayakutimizwa.
√ Watu hawatokua tayari kuishi bila furaha ndani ya nyoyo zao.
√ Watu hawatapenda kusikia kauli za kuudhi zenye kukatisha tamaa.
√ Watu hawatapenda kuishi kwa vitisho
√ Watu hawa hawatapenda kunyanyasika tena.
√ Wapinzani hawatakubali kurudi katika kamata kamata ya polisi tena.
√ Watalawala nao watataka kurudi kukamilisha miradi yao.
√ Vyombo vyetu vya dola vitapokea maagizo kufanya kazi zao ipasavyo.
√ Ni kipindi ambacho Yale masaa 48 chini mamlaka ya RCs na MaDC watayatumia kisawasawa.
√Ni kipindi ambacho kumtangaza mshindi kutakua na mvutano kuliko ilivyiwahi kutokea.
√ Kampeni za uchaguzi zinaweza kua na mashart magumu kuliko isemavyo katiba na sheria ya nchi.
√Ni kipindi ambacho tume ya uchaguzi inaweza kua katika wakati mgumu kuwahi kutokea.
KUEPUKA NA HAYA MAPEMA,
Tafadhali sana, katiba Mpya ipatikane mapema ipasavyo.Tume huru ya uchaguzi ni muhimu kuliko kitu chochote kile.
√ Watu hawatapenda kuishi katika hali waliyonayo.
√ Wa hawatapenda kuona mikono yao ikifanya maamuzi yatakayowatesa.
√ Watu wengi hawatakubali kukubali tena kuahidiwa ambavyo hayakutimizwa.
√ Watu hawatokua tayari kuishi bila furaha ndani ya nyoyo zao.
√ Watu hawatapenda kusikia kauli za kuudhi zenye kukatisha tamaa.
√ Watu hawatapenda kuishi kwa vitisho
√ Watu hawa hawatapenda kunyanyasika tena.
√ Wapinzani hawatakubali kurudi katika kamata kamata ya polisi tena.
√ Watalawala nao watataka kurudi kukamilisha miradi yao.
√ Vyombo vyetu vya dola vitapokea maagizo kufanya kazi zao ipasavyo.
√ Ni kipindi ambacho Yale masaa 48 chini mamlaka ya RCs na MaDC watayatumia kisawasawa.
√Ni kipindi ambacho kumtangaza mshindi kutakua na mvutano kuliko ilivyiwahi kutokea.
√ Kampeni za uchaguzi zinaweza kua na mashart magumu kuliko isemavyo katiba na sheria ya nchi.
√Ni kipindi ambacho tume ya uchaguzi inaweza kua katika wakati mgumu kuwahi kutokea.
KUEPUKA NA HAYA MAPEMA,
Tafadhali sana, katiba Mpya ipatikane mapema ipasavyo.Tume huru ya uchaguzi ni muhimu kuliko kitu chochote kile.