Kuhusu wachunguzi wa kimataifa: Majibu ya Waziri Mkuu ni final and conclusive. Hawataruhusiwa!

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,517
Leo,katika kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Bungeni Dodoma,Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe alimuuliza Waziri Mkuu,pamoja na mambo mengine,kuhusu wachunguzi wa kimataifa.

Akichagiza swali lake na tukio la kuungua kwa benki kuu ya Tanzania na kuja kwa Scotland Yard hapa nchini kufanya uchunguzi,Mbowe alitaka kujua Serikali inapata kigugumizi gani kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa katika matukio ya utekaji,mauwaji na kushambuliwa kwa watu mbalimbali hapa nchini hasa wanasiasa wa upinzani.

Nikiri,mimi binafsi,swali la Mbowe lilikuwa gumu na la mtego kwa Waziri Mkuu. Lakini,swali la Mbowe lililenga kupata jibu la mwisho ili kufunga mjadala kuhusu kuruhusiwa au kutokuruhusiwa kwa Wachunguzi wa Kimataifa hapa nchini. Jibu la mwisho likatolewa.

Kwa umahiri mkubwa na ubobezi wa kisiasa,Waziri Mkuu alijibu kuwa hadi sasa Serikali ina imani kubwa kwa vyombo vya uchunguzi vya ndani. Akaongeza kuwa Serikali,hadi sasa,haioni haja ya kuruhusu Wachunguzi wa Kimataifa kwakuwa vyombo vyetu vya ndani vina uwezo na Serikali ina imani navyo. Akamaliza kwa kusema kuwa kama vyombo vya ndani vitaona havina uwezo,vitatoa taarifa kwa umma!

Hakika,jibu la Waziri Mkuu lilikuwa la umakini mkubwa na lililofunga mjadala. Haiwezekani vyombo vya uchunguzi vya ndani kusema havina uwezo. Kamwe! Pia,haiwezekani Serikali iseme haina imani na uwezo wa vyombo vya ndani. Ndiyo kusema,jibu la Waziri Mkuu ni final and conclusive. Ni wazi kuwa Wachunguzi wa Kimataifa hawaruhusiwa nchini na Serikali hii kwakuwa haja haionekani!
 
Leo,katika kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Bungeni Dodoma,Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe alimuuliza Waziri Mkuu,pamoja na mambo mengine,kuhusu wachunguzi wa kimataifa.

Akichagiza swali lake na tukio la kuungua kwa benki kuu ya Tanzania na kuja kwa Scotland Yard hapa nchini kufanya uchunguzi,Mbowe alitaka kujua Serikali inapata kigugumizi gani kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa katika matukio ya utekaji,mauwaji na kushambuliwa kwa watu mbalimbali hapa nchini hasa wanasiasa wa upinzani.

Nikiri,mimi binafsi,swali la Mbowe lilikuwa gumu na la mtego kwa Waziri Mkuu. Lakini,swali la Mbowe lililenga kupata jibu la mwisho ili kufunga mjadala kuhusu kuruhusiwa au kutokuruhusiwa kwa Wachunguzi wa Kimataifa hapa nchini. Jibu la mwisho likatolewa.

Kwa umahiri mkubwa na ubobezi wa kisiasa,Waziri Mkuu alijibu kuwa hadi sasa Serikali ina imani kubwa kwa vyombo vya uchunguzi vya ndani. Akaongeza kuwa Serikali,hadi sasa,haioni haja ya kuruhusu Wachunguzi wa Kimataifa kwakuwa vyombo vyetu vya ndani vina uwezo na Serikali ina imani navyo. Akamaliza kwa kusema kuwa kama vyombo vya ndani vitaona havina uwezo,vitatoa taarifa kwa umma!

Hakika,jibu la Waziri Mkuu lilikuwa la umakini mkubwa na lililofunga mjadala. Haiwezekani vyombo vya uchunguzi vya ndani kusema havina uwezo. Kamwe! Pia,haiwezekani Serikali iseme haina imani na uwezo wa vyombo vya ndani. Ndiyo kusema,jibu la Waziri Mkuu ni final and conclusive. Ni wazi kuwa Wachunguzi wa Kimataifa hawaruhusiwa nchini na Serikali hii kwakuwa haja haionekani!
Rubbish, Rubbish! shyster lawyer! Wewe ni lawyer kweli! walipoleta wachunguzi wa benki Kuu kuungua? and many other incidences!
 
Rubbish, Rubbish! shyster lawyer! Wewe ni lawyer kweli! walipoleta wachunguzi wa benki Kuu kuungua? and many other incidences!
Inategemea wewe kwa sasa una miaka mingapi ya kuzaliwa????
Maana nina wasiwasi huijui Tanzania ilikuwaje by then naona hukuwa umezaliwa!!!!!!!
Kumbe hata UKIPEWA jibu huenda ukamshambulia mtoa mada badala ya hoja yako

Hivi kwa mfano Mtoa mada kakosea nini hapo hadi uanze kushambulia u lawyer wake as if alimshauri PM kujibu vile???????
Au ndo ule ugonjwa wa kutotaka kusikia majibu tofauti na mawazo yako?????

My take:-JITAHIDI KUWAVUMILIA WENGINE MAANA INAPOISHIA HAKI YAKO NDIPO HAKI YA MWINGINE INAPOANZIA
 
Kama ana imani na vyombo vyake vya ulinzi na usalama angejibu pia tangu tukio litokee wamefikia wapi na vipi watuhumiwa wamesha kamatwa?
Kwann wasingeanzia kwa yule aliyemtolea nape bastola inaweza kuwa ni mtandao mmoja unaofanya uhalifu....au na yule hakuonekana? Vip nape hakumwona?, kitenge je ? , au hamorapa? Kwann wasikae na hao watu nliowataja ili waweze kumtambua mtuhumiwa hatae tupate mtandao mzima wa waalifu.
 
Mkuu,did you read between lines. Kindly do so
Nimesoma. Lawyer kama wewe unapotetea maovu, wakati ukijua fika, kuwa katika hali ya issue ya LISU an umpire investigator is necessary, it is a pity! Unajua kama hutaki kuwaudhi wenzako, kaa kimywa ulinde heshima ya UWAKILI wako na wenzako! Kwaheri Mselelwa, wengine kama sisi ambao hatujui haki ni nini tukisema , it is OK, siyo wewe afisa wa mahakama, unaisaidia mahakama kutenda/kufikia uamuzi wa haki unakuwa hivi! Unaniudhi! Nikutafute kweli unisimamie kesi katika hali kama hii ya upofu!
 
Leo,katika kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu Bungeni Dodoma,Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe alimuuliza Waziri Mkuu,pamoja na mambo mengine,kuhusu wachunguzi wa kimataifa.

Akichagiza swali lake na tukio la kuungua kwa benki kuu ya Tanzania na kuja kwa Scotland Yard hapa nchini kufanya uchunguzi,Mbowe alitaka kujua Serikali inapata kigugumizi gani kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa katika matukio ya utekaji,mauwaji na kushambuliwa kwa watu mbalimbali hapa nchini hasa wanasiasa wa upinzani.

Nikiri,mimi binafsi,swali la Mbowe lilikuwa gumu na la mtego kwa Waziri Mkuu. Lakini,swali la Mbowe lililenga kupata jibu la mwisho ili kufunga mjadala kuhusu kuruhusiwa au kutokuruhusiwa kwa Wachunguzi wa Kimataifa hapa nchini. Jibu la mwisho likatolewa.

Kwa umahiri mkubwa na ubobezi wa kisiasa,Waziri Mkuu alijibu kuwa hadi sasa Serikali ina imani kubwa kwa vyombo vya uchunguzi vya ndani. Akaongeza kuwa Serikali,hadi sasa,haioni haja ya kuruhusu Wachunguzi wa Kimataifa kwakuwa vyombo vyetu vya ndani vina uwezo na Serikali ina imani navyo. Akamaliza kwa kusema kuwa kama vyombo vya ndani vitaona havina uwezo,vitatoa taarifa kwa umma!

Hakika,jibu la Waziri Mkuu lilikuwa la umakini mkubwa na lililofunga mjadala. Haiwezekani vyombo vya uchunguzi vya ndani kusema havina uwezo. Kamwe! Pia,haiwezekani Serikali iseme haina imani na uwezo wa vyombo vya ndani. Ndiyo kusema,jibu la Waziri Mkuu ni final and conclusive. Ni wazi kuwa Wachunguzi wa Kimataifa hawaruhusiwa nchini na Serikali hii kwakuwa haja haionekani!

Kanjanja,, PM amejibu kitu gani kwa umahiri
 
Rubbish, Rubbish! shyster lawyer! Wewe ni lawyer kweli! walipoleta wachunguzi wa benki Kuu kuungua? and many other incidences!
Benki kuu ziliungua pesa zao za kigeni za balozi na miradi yao na makampuni yao na NGO zao na mashirika ya misaada yao zilizokuwa benki kuu kwa hiyo walitakiwa wafike kuhakiki wakadai bima kwao ziwalipe ajali ya moto iliyotokea
 
Inategemea wewe kwa sasa una miaka mingapi ya kuzaliwa????
Maana nina wasiwasi huijui Tanzania ilikuwaje by then naona hukuwa umezaliwa!!!!!!!
Kumbe hata UKIPEWA jibu huenda ukamshambulia mtoa mada badala ya hoja yako

Hivi kwa mfano Mtoa mada kakosea nini hapo hadi uanze kushambulia u lawyer wake as if alimshauri PM kujibu vile???????
Au ndo ule ugonjwa wa kutotaka kusikia majibu tofauti na mawazo yako?????

My take:-JITAHIDI KUWAVUMILIA WENGINE MAANA INAPOISHIA HAKI YAKO NDIPO HAKI YA MWINGINE INAPOANZIA
Wewe ukiandika hivi sawa, siyo yeye! A lawyer is a philosopher!
 
Nimesoma. Lawyer kama wewe unapotetea maovu, wakati ukijua fika, kuwa katika hali ya issue ya LISU an umpire investigator is necessary, it is a pity! Unajua kama hutaki kuwaudhi wenzako, kaa kimywa ulinde heshima ya UWAKILI wako na wenzako! Kwaheri Mselelwa, wengine kama sisi ambao hatujui haki ni nini tukisema , it OK, siyo wewe afisa wamahakama, unaisaidia mahakama kutenda/kufikia uamuzi wa haki unakuwa hivi! Unaniudhi! Nikutafute kweli unisimamie kesi katika hali kama hii ya upofu!
Nina wasiwasi hujaelewa. Kumbuka,JF is a GT's home.
 
Kwa hiyo wachunguzi wa kimataifa walioenda kuchunguza issue ya marehemu princes Diana ina maana vyombo vya ulinzi usalama vya Uingereza vilikuwa haviaminiki?

Je, wakat Scotland yard walipokuja kwenye "BoT arson saga' ina maana vyombo vyetu kwa wakati ule vilikuwa dhaifu na mufilisi?

Je, kuwa na Interpol ina maana Kuna maanisha kuwa nchi wanachama zina vyombo vya ulinzi na usalama dhaifu..?

Ina maana Marekani alivyotangaza dau nono kwa atayechunguza na hatimaye kuweza kuwabaini walipokuwa (sasa marehemu.-Osama bin laden na Mulla Omar (kijicho) wataka sema system ya usalama wa ndani na nje ya marekani ilikuwa dhaifu to that extant? Think twice.
Lahasha, mengi la vyombo huru vya uchunguzi vya kimataifa ni kuhakikisha wanachunguza na kutoa mrejesho on an impartial & merit criteria kwa pande zote mbili au zaid zinazokuwa zina husika.
 
Kwa hiyo wachunguzi wa kimataifa walioenda kuchunguza issue ya marehemu princes Diana ina maana vyombo vya ulinzi usalama vya Uingereza vilikuwa haviaminiki?

Je, wakat Scotland yard walipokuja kwenye "BoT arson saga' ina maana vyombo vyetu kwa wakati ule vilikuwa dhaifu na mufilisi?

Je, kuwa na Interpol ina maana Kuna maanisha kuwa nchi wanachama zina vyombo vya ulinzi na usalama dhaifu..?

Ina maana Marekani alivyotangaza dau nono kwa atayechunguza na hatimaye kuweza kuwabaini walipokuwa (sasa marehemu.-Osama bin laden na Mulla Omar (kijicho) wataka sema system ya usalama wa ndani na nje ya marekani ilikuwa dhaifu to that extant? Think twice.
Lahasha, mengi la vyombo huru vya uchunguzi vya kimataifa ni kuhakikisha wanachunguza na kutoa mrejesho on an impartial & merit criteria kwa pande zote mbili au zaid zinazokuwa zina husika.
Petro E. Mselewa
 
Nina wasiwasi hujaelewa. Kumbuka,JF is a GT's home.
Wewe ndio hujui pesa za kigeni za akaunti za watu wa nje zilizokuwa benki kuu za balozi,mabenki ya nje,NGo za nje.mashirika ya nje ya binafsi na misaada zilikuwa benki kuu na zilikuwa na bima kwenye nchi zao za ajali kama za moto nk .Hivyo ilibidi lazima walete watu wao kuhakiki hiyo ajali ya moto na kuandika ripoti ili bima zao ziwalipe pesa zao zilizoungua kwa ajali ya moto benki kuu sababu bima zao hazikuwa za Tanzania Bali za nje.Ndio maana walikuja
 
Angalia comments walizotoa wengine wengi juu ya hoja yako! Mimi namuheshimu sana mwanasheria. They are very logical, tena logical reasoning, focused, analytical tena scientific analysis, and to crown it all, are PHILOSOPHERS
Hawa hawa walioingia mikataba ya hovyo kwa niaba yetu ndo unawasifia hv?
 
Back
Top Bottom