Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali.
Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru...
Ndugu zangu Watanzania,
Leo Rais Samia, mama wa shoka, jasiri muongoza njia, shujaa wa Afrika, chuma cha reli, nuru ya wanyonge, na sauti ya Afrika na wa Afrika, ameongea kwa uchungu na hisia...
Mwenye hio audio au video au hotuba ya maneno siku Rais Nyerere anatangaza azma ya Serikali kuhamia Dodoma Jambo ambalo Rais Hayati Magufuli alilitimiza.
Haingii akilini kumwona Mzee Mkapa akuhudhuria midahalo/majukwaa ya siasa despite of machafu yote aliyotenda wakati akiwa ikulu. Kashfa ya Mgodi wa kiwira, ilitosha kumpeleka huyu mzee SEGEREA...
Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973.
Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini...
Jamani mniwie radhi kama hati ya muafaka kati ya ccm na cuf zanzibar ilishawahi kubandikwa hapa janvini. Just out of curiosity, natamani kusoma hiyo hati ili nitafute ukweli/uongo wa hizi tuhuma...
Wadau, naomba mnisaidie kujua jinsi fixed charge ambayo Tanesco walikuwa wakilipa kwa Richmond/Dowans.
Kuna uwezekano mkubwa Dowans/Richmond hawakutaja thamani sahihi ya uwekezaji wao ili...
Baada ya cdm kutembelea kgr, pm naye alikwenda huko, kukawa na wasiwasi kama angeweza kuvutia umati kama cdm, am curious kujua yaliyojiri huko mbona hakuna taarifa yoyote au taarifa ndio hiyo?
Wakuu nawasalimu, niende moja kwa moja kwenye swali , linahusu budge ya serikali na utekelezaji wake , bunge na Mheshiwa Rais
nianze na maelezo kidogo, Nijuavyo mimi, budget zote hupitishwa na...
1.Waziri wa Ulinzi na JKT.
2.Waziri wa habari,utamaduni na michezo.
3.Waziri wa Ardhi,Nyumba na makazi.
Kama nitathibitishiwa kwamba kuna aliyefikia kidato cha sita Nazi ya mawaziri hao, leo...
kama kuna mtu anajua CV ya Vuai Ali Vuai naoma aitume.. tuelewe kiongozi huyu amesoma wapi an chuo gani?
nama kuna wengi wanaamini kuwa huyu muheshimiwa hakusoma
tafadhali naomba habari za uhakika
Habari zenu familia ya JF. Niende kwenye mada hapo juu. Naomba mwenye CV ya Mheshimiwa huyu. Kifupi ni Mbunge, jimbo sijui na ni mmoja wa wanakanati ya Bunge ya uchunguzi wa Almasi na Tanzanite...
Waziri wa Mipango anapaswa kuwa mtaalam na siyo mwanasiasa tu. Nikiangalia mpango wa Taifa wa maendeleo upo vizuri ila mwasilishaji wa mpango huo anapwaya. Kunaonekana kama zile planing strategies...
Wakuu naomba mwenye cv ya jenister muhagama aiweke hapa.
Huyu mama amekuwa akipata Uwaziri kirahisi sana karibu katika kila Serikali lakini ukimtizama hana maarifa yoyote na hata jimbo anakotoka...
Mwenye CV na DC wa Morogoro, Rebecca Sanga aliyemwita Mpina ni MWALI.
Nimeona huyu DC anazidi kupata umaarufu mkubwa kwa kumuita mpina mwali anatamba mitandao karibu yote.
Naomba mwenye cv yake...
Nimekuwa nikimsikia kupitia vyombo vya habari kwa wiki nzima sasa akitoa misaada mbalimbali mkoani Singida. Misaada hii inagusa maeneo mbalimbali ya kijamii.
Nadhani cheo kikubwa serikalini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.