Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Jamani mniwie radhi kama hati ya muafaka kati ya ccm na cuf zanzibar ilishawahi kubandikwa hapa janvini. Just out of curiosity, natamani kusoma hiyo hati ili nitafute ukweli/uongo wa hizi tuhuma kwamba CUF siyo chama cha upinzani. Lakini pia tujue kama vyama vingine vina nafasi ya kujiunganisha kwenye huo muafaka au la.
Mwenye nayo please?
Mwenye nayo please?