Naomba huu uwazi alioanzisha Rais uwekwe kwenye Sheria na Kanuni

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali.

Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru. Hapo ndiyo tutaepuka mambo kama yaliyotokea miaka mitano ya JPM.

Sasa hili suala lisiachwe kwa Rais tu. Liwekwe kwenye Sheria na Kanuni ili kila kiongozi alazimike kulifuata atake asitake. Kusiwepo na habari za uongouongo na takwimu za kupika.

Ni vema pia kuwe na Sheria juu ya adhabu kwa kiongozi atakayebainika kusema uongo na kupika takwimu.
 
Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali.

Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru. Hapo ndiyo tutaepuka mambo kama yaliyotokea miaka mitano ya JPM.

Sasa hili suala lisiachwe kwa Rais tu. Liwekwe kwenye Sheria na Kanuni ili kila kiongozi alazimike kulifuata atake asitake. Kusiwepo na habari za uongouongo na takwimu za kupika.

Ni vema pia kuwe na Sheria juu ya adhabu kwa kiongozi atakayebainika kusema uongo na kupika takwimu.
Unajidanganya, hakuna mwanasiasa muwazi, hayo uyaonayo ni vile yamevuja.
 
Nafikiri hii ni glasnost yetu. Mambo mengi japo si yote ya nchi ni vema kuwa wazi. Watu wayajadili na kutoa maoni yao mbalimbali.

Mambo ya umma yanatakiwa kuwekwa wazi na kujadiliwa kwa uhuru. Hapo ndiyo tutaepuka mambo kama yaliyotokea miaka mitano ya JPM.

Sasa hili suala lisiachwe kwa Rais tu. Liwekwe kwenye Sheria na Kanuni ili kila kiongozi alazimike kulifuata atake asitake. Kusiwepo na habari za uongouongo na takwimu za kupika.

Ni vema pia kuwe na Sheria juu ya adhabu kwa kiongozi atakayebainika kusema uongo na kupika takwimu.
Ni kweli tatizo la nchi nyingi za Africa hakuna sheria imara, mambo mengi ni matamko ya watawala majukwaani.
 
Back
Top Bottom