Siasaniupendo
Member
- Apr 2, 2012
- 20
- 7
Haingii akilini kumwona Mzee Mkapa akuhudhuria midahalo/majukwaa ya siasa despite of machafu yote aliyotenda wakati akiwa ikulu. Kashfa ya Mgodi wa kiwira, ilitosha kumpeleka huyu mzee SEGEREA maisha.
Ni sawa na wanyama, wakibarehe/kuvunja ungo, hawana heshima wala taadhima. Wanachojali ni matamanio ya mwili.
Kibri ya Pesa na Kinga inamnyima huyu mzee staha sawa na wanyama juu ya tupu zao
Ni sawa na wanyama, wakibarehe/kuvunja ungo, hawana heshima wala taadhima. Wanachojali ni matamanio ya mwili.
Kibri ya Pesa na Kinga inamnyima huyu mzee staha sawa na wanyama juu ya tupu zao