Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwanza ilikuwa Hitler. Kanisa lilimpinga sana Hitler. Pia baada ya Mapinduzi ya Lenin, serikali za kidikteta zikajitokeza Urusi na nchi nyingi za Ulaya Mashariki. Hawa watu walikuwa wanaamini...
3 Reactions
8 Replies
153 Views
NDUMILAKUWILI? Ukurasa wa mbele wa gazeti la JAMVI LA HABARI umechapisha katuni inayoonyesha ukigeugeu wa kauli za kiongozi mmoja mashuhuri nchini, kwa kulinganisha kauli aliyoitoa Agosti 9, 2025...
4 Reactions
20 Replies
512 Views
Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T-CAMS, unaendeshwa na Capital Pay, unahusishwa na kashfa kubwa ya familia ya rais. Kampuni hii inamilikiwa na Garang Malek kutoka South Sudan, ambaye anahusishwa...
16 Reactions
83 Replies
2K Views
Awamu ya Samia ndio imetafsiri maana halisi ya Tanzania ya viwanda na sio vi wonder kama kule tulikotoka. Pia soma Rais Samia anatafsiri Tanzania ya viwanda kwa vitendo ========================...
10 Reactions
537 Replies
14K Views
  • Redirect
Waliopo Karibu na Wanaharakati Mwanamke Muwe makini. Kama Unaishi Nchi za Afrika sepa au rejea Nyumbani utapokelewa na Msahama. Tuliwaonya Sasa mmoja mmoja Kazi yake Itakua kutoa Taarifa kwamba...
2 Reactions
Replies
Views
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, Nasra Mohamed amesema; "Hata tukitengeneza Katiba Mpya leo kama watu hawatawajibika bado tutarudi kwenye suala la malalamiko kwa Wananchi"
0 Reactions
8 Replies
141 Views
EWURA imetangaza bei elekezi ya mafuta kwa mwezi August. Wastani wa bei ya Petroli ni TZS 4,034/=. Yaani ukichukua bei ya Dar 3,898/= (bei ndogo zaidi), ukajumlisha bei ya Kyerwa (Kagera) 4,170/=...
14 Reactions
32 Replies
642 Views
Kikwete family yake, Samia family yake wameweza kututeka, kubaka watu na kuiba pesa kwasababu ya ujinga wa wananchi.
12 Reactions
20 Replies
444 Views
Mhojiwa (Mwanamke): "Laba nitoe mfano sasa hivi. Unajua sasa hivi hata hali ya kisiasa, kwa ninavyotazama mimi, kwa namna ambavyo naiona, hali ya kisiasa ina utofauti mkubwa sana na hali ya siasa...
2 Reactions
5 Replies
180 Views
  • Redirect
Kama hii kitu ina ukweli basi taifa letu lina mpasuko mkubwa sana👇
2 Reactions
Replies
Views
Wadau karibuni tutoe maoni kwenye rasimu ya muswada wa mfano (Model Bill): The National Dialogue, Truth, Reconciliation and Social Healing Bill, 2026. Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa (KKMK).
0 Reactions
3 Replies
65 Views
Maridhiano bila waovu kuchukuliwa hatua kali za kisheria waliosababisha Yale ya October 29 waliomchukua Polepole walio nyuma yanayondelea kwenye kesi ya Lissu aya mambo sijui kesi za Ugaidi...
1 Reactions
18 Replies
212 Views
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa imeomba Serikali kuandaa na kuwasilisha bungeni mswada wa sheria utakaoongoza mchakato mzima wa mazungumzo na maridhiano nchini, ili kutoa mwongozo rasmi...
0 Reactions
2 Replies
152 Views
KANUNI YA AUAYE KWA UPANGA ATAKUFA KWA UPANGA IMEBUNIWA NA WAYAHUDI NA WANAITUMIA. HIVYO USITEGEMEE IFANYE KAZI KWAKO KAMA HUFANYI JITIHADA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Siwakatishi tamaa...
0 Reactions
4 Replies
74 Views
Nimeshangaa sana kijana kama huyu na umri mdogo anawashinda waandishi wakongwe kama Pascal Mayala kwenye kudadavua mambo. CCM sasa imefikia ukomo. Ni kama ajuza ambae hata apake makeup za...
23 Reactions
45 Replies
810 Views
  • Redirect
Mfanyabiashara na mwanasiasa wa zamani, Azim Dewji, amefunguka kuhusu masuala ya utekaji na upoteaji wa watu nchini na kueleza kuwa haamini kama Serikali ina sababu yoyote ya kumpoteza au kumuuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Kama mwenendo ndiyo huu basi hii dira ya 2050 isogewe miaka 100 mbele CCM wanatia aibu na hasira kwa wakati mmoja.
2 Reactions
11 Replies
194 Views
Royal tour imegeuka kuwa roho toa. Serikali ya Tanzania imechafuka kimataifa. Watanzania hawatakuzomea uone aibu, bali watakulaani wewe na kizazi chako. 29.10.2025 haitasahaulika. Ndo kitu pekee...
4 Reactions
13 Replies
401 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…