Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu wa Kamati Maalum vya NEC Zanzibar , Idara ya Itikadi ,Uenezi na Mafunzo, Khamisi Mbeto Khamis ,ameeleza hayo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Visiwani humu Mbeto alisema matatizo...
2 Reactions
9 Replies
310 Views
1 Reactions
4 Replies
204 Views
Mange kimambi aliwaambia vijana wasiogope walambe pasi ya moto tarehe 29 wataokolewa na wajeda. Vijana wa Dar wakalamba pasi ya moto kwa siku moja na nusu wakaona hakuna ukombozi wakaacha...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Ninafurahi kuona alichokizungumza Rais Museveni wa Uganda ndio yamekuwa maoni yangu tangu mwanzo juu ya kilichotokea Oktoba 29. 2025. Bahati mbaya kizazi cha Tanzania kwa sasa kimevurugwa na...
0 Reactions
100 Replies
3K Views
Tunajua njama zote zinazofanywa na wenye mamlaka fake kuwatumia polisi. Na polisi walivyo wajinga wanaingia mkenge. Tuko kwenye point of no return. Mpende msipende tunakwenda kuikomboa nchi...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Mtangazaji; Mnafanya mchakato upi ili kupata wagombea?, yaani mna aina gani ya viongozi ambao mnao? Kama mna viongozi ambao wanaweza wakarubuniwa kwa rushwa na wakapokea hii inaleta twaswira gani...
7 Reactions
179 Replies
14K Views
Rais wa SMZ Dkt. Hussein Mwinyi amesema ni vema tukajenga uchumi kwanza kabla ya kushughulika na katiba mpya. Akihojiwa na Salimu Kikeke wa BBC Dkt. Mwinyi amesema Tanzania ni nchi yenye vyama...
4 Reactions
124 Replies
8K Views
mwamba huyo hapo aliyedhulumu haki za wapinzania enzi za unfetted power aliyokuwa nayo 005, IGP Omar MAHITA akaibukia akiwa na visu vilivyopakwa rangi za bendera ya CUF, akasema polisi wamekamata...
14 Reactions
73 Replies
5K Views
Nchi haiwezi kuongozwa bila kufuata sheria na katiba ya nchi.Uongozi bora ni lazima uheshimu sheria za nchi na misingi ya haki. Kilichotokea Oktoba ni serikali kuvunja na kuidharau katiba ya nchi...
2 Reactions
2 Replies
231 Views
Nimefuatilia uapisho huu wa Waziri Mkuu na jambo moja limejionyesha wazi kuliko yote, ni sura za wageni waalikwa, na hata za viongozi waliokuwa karibu naye, hazikuakisi ile furaha ambayo kawaida...
12 Reactions
52 Replies
2K Views
Huyu jamaa toka jina lake likatwe huko CCM sijamsikia tena. Hata kutoa pole kwa waliokufa kwenye maandamano hajatoa. Hivi yupo kweli?
1 Reactions
15 Replies
596 Views
Bashasha na tabasamu siku alipoihondomola CCM kwa kulazimisha jina la ampendae yeye lipite bila mchakato... Kikaja kikaharibika.... Wananchi wamelikataa jina, watu wameimba mitaani HATUMTAKI...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Waambieni hao wazee na vijana wajinga huko ofisini Dunia ilikofika si kwa kuficha ukweli kwa kuweka uongo unaoweza kuthibitishwa na watu hata bila kutumia nyenzo za uthibitishaji wa video halali...
13 Reactions
12 Replies
702 Views
Watu walidhani baada ya Rais kutangazwa ameshinda basi watu wataacha hizi harakati ila ndo kama wanaanza mambo yamekuwa tofauti ili joto la kisisa lipo juu sana tokea nizaliwe sijawah ona joto la...
50 Reactions
82 Replies
2K Views
Wana JF naomba mnieleweshe kuhusu waislam wa tanzania kudai maslahi yao, Hivi wanamaanisha nini? Je ni umeme kwa waislam, maji, sewage system mijini ili waislam wasiishi na mavi kwenye makazi yao...
1 Reactions
127 Replies
11K Views
Nimemsikiliza Rais Magufuli, akihutubia taifa baada ya kumwapisha Waziri mpya wa Katiba na Sheria, Mwigulu Nchemba. Kuna mengi aliyoongea JPM ambayo yanavutia mjadala. Mimi nijikite kujadili kwa...
86 Reactions
214 Replies
21K Views
Nimesoma kitabu cha CRASH OF CIVILIZATION AND REMARKING OF NEW ORDER cha mwandishi nguli Samwel P. Huntington juu ya namna gani watu wamekuwa na ustaarabu mpya wa kujuana na kutambuana aidha hata...
0 Reactions
4 Replies
486 Views
Serikali kupitia Idara ya Habari Maelezo imesema taarifa iliyosambaa ikidai kuwa wanafunzi 309,986 hawajulikani walipo ni potoshi. Kwenye ujumbe wao, Maelezo wamesema kwamba idadi hiyo ni ya...
0 Reactions
5 Replies
308 Views
Kwa nondo anazoshusha Lissu kuhusu mambo mbalimbali likiwemo swala la mashehe wa uamsho katika mikutano yake ya kampeni huku akichagiza kampeni zake kwa kauli mbinu ya chama chake ya uhuru, haki...
14 Reactions
53 Replies
4K Views
Mgombea urais Tundu Lissu ameendelea kusisitiza na kumtaka Rais Magufuli awaachie mara moja mashekhe wa Uamsho na mahabusu wengine waliofungwa kwa hila. Tundu Lissu ameahidi ndani ya siku 100 za...
56 Reactions
212 Replies
21K Views
Back
Top Bottom