Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mheshimiwa John Heche, anawatakia Watanzania wote heri ya mwaka mpya wa 2026. Tunapoingia mwaka mpya, tunatambua maumivu, hofu na uchovu uliowagusa wananchi...
23 Reactions
14 Replies
473 Views
Anaandika Liberatus Mwang'ombe Mpaka uzi huu unapanda hewani, jeshi la utekaji la polisi hawajatoa kauli yeyote UPDATE Mdogo wake Thadei Kweka aitwaye JB Kweka, kupitia Club House...
15 Reactions
111 Replies
3K Views
Kuna madogo katika soka academy iliyoko Mwanza wameuawa kutokana na kadhia ya Oct 29. Hawa madogo hawakuhusika kwa namna yoyote ile na maandamano, wala vurugu zilizotokea. Hivi kuna ulazima wa...
5 Reactions
14 Replies
467 Views
Kitendo cha Chadema kutoshiriki uchaguzi mkuu mwaka huu utabaki kuwa maamuzi Bora kuwahi kufanyika na kukumbukwa na vizazi vyote. Heko chadema.
49 Reactions
76 Replies
2K Views
TUME ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu, leo Desemba 30, 2025, imekutana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Jacob Mkunda. - Kikao...
2 Reactions
23 Replies
834 Views
Akitumia ukurasa wake wa X madam president ameandika Ninaipongeza timu yetu ya Taifa ya mpira wa miguu, Taifa Stars kwa kufuzu hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...
4 Reactions
54 Replies
1K Views
Magufuli alikuwa Dikteta lakini alikuwa mzalendo kwa nchi yake, kama ilivyo kwa Putini, lakini Samia yeye si mzalendo hata kidogo bali ni ........wa rasilimali za Tanganyika. Na bado ameingia...
4 Reactions
3 Replies
249 Views
Kila siku kuna zuka utamaduni mpya Tanzania, kama hii ndo Tanzania mpya wanayoisema nadhani bora ibaki iliyokuwepo Baada ya uchaguzi yalizuka malumbano ya hoja kati ya "HAKI au AMANI" ni kipi...
12 Reactions
34 Replies
788 Views
Kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mamlaka za Tanzania zitakosa pa kupeleka lawama tena kwasababu mambo yanazidi kudhihirika wazi Ukweli huwa siku zote haujifichi hata uchelewe kiasi gani...
16 Reactions
100 Replies
2K Views
GT Utambulisho wa Muamala: 403*288*. Umetuma TSH 500.00 kwenda M-PESA, jina ALUTE SIMON MUGHWAI namba 255797527876, gharama TSH 10.00, wakati 2025/12/31 17:41:22. Salio lako jipya ni TSH 8***...
16 Reactions
38 Replies
556 Views
Majaribio ya kikundi kidogo kuteka nchi yetu yame fail vibaya raia wamepiga kwenye mshono sasa hivi wanalala na viatu wanaogopa mapinduzi. Wanaogopa kuwajibishwa kwa mauwaji waliyo yafanya wizi...
4 Reactions
15 Replies
451 Views
KISWAHILI SIO LUGHA YA TAIFA LA TANZANIA NI LUGHA YA TAIFA LA KENYA- PROF SAFARI
1 Reactions
3 Replies
202 Views
Tunafunga mwaka kibabe sana, Ni majina gani ya wanaharakati na viongozi waliokonga na kugusa moyo wako na mioyo ya watanzania katika kusimamia haki, kupambania uhuru wa watu, kuongoza vizuri...
5 Reactions
23 Replies
427 Views
Mwigulu Nchemba ambaye sasa ni Waziri wa mambo ya ndani ni " mcheza cinema " wa siku nyingi na amezoeleka miongoni mwa wapenda cinema mithili ya Jack Chan . Kuna wakati alishiriki kutengeneza...
8 Reactions
53 Replies
5K Views
Makamanda Shalom! Makamanda juzi niliona lile lilevi Augustino Polepole anapiga mikwala kwenye Clip moja iliyowekwa humu JF Asubuhi naamka najiuliza hivi haya masaa 24 ambayo yametolewa...
7 Reactions
91 Replies
4K Views
Hivi karibuni niliandika nyuzi zilizojikita zaidi kwenye nidhamu na ukosoaji wa matendo mabaya, nyuzi zilizopelekea kupokea jumbe nyingi za huzuni na lawama ambazo zilinihuzunisha sana Nimeona ni...
2 Reactions
53 Replies
1K Views
Nawaambia Watanganyika katika vitu vinavyotakiwa kususiwa Basi Ni hii tume ya mchongo. Jambo ili kwa mjinga ni faraja na kwa mtu mwenye akili namwambia na anisikilize Hii tume imeletwa Kupoteza...
9 Reactions
27 Replies
596 Views
Nimeangalia clip zote za kijana aliyevunjwa miguu akibebwa alipo kuwa mahakamani kwenye kesi za vijana baada ya maandamamo ya 29 Oktoba. Nimewaangalia vijana Hao wakibebana kisha nimelinganisha...
21 Reactions
32 Replies
1K Views
Nashangaa mtu anaamka asubuhi kwa kutumia jina la chadema anaweka account number yake binafs anaanza kutafuta hela za mwaka mpya kwaajili ya kula na familia yake na watu wanamchangia kweli hii ni...
1 Reactions
38 Replies
566 Views
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, leo Desemba 29, 2025, akiwa Bunju B jijini Dar es Salaam, amefafanua mjadala unaoendelea mitandaoni kuhusu HAKI na AMANI. Amesema kuwa HAKI ni jambo muhimu na...
4 Reactions
87 Replies
2K Views
Back
Top Bottom