Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika hotuba ya kufungua bunge siku ya Jana tarehe 14.11.2025 mhe.Rais amezungumzia kuhusu kuanzishwa kwa wazira maalumu ya vijana ili kutatua changamoto za vijana ambao ni zaidi ya 60% ya watu...
1 Reactions
21 Replies
531 Views
Katika Ibada Kuu ya Pasaka ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Mwenge, Dar-Es-Salaam; wakati wa Neno la Pasaka 20.4.2014, lenye kichwa, "JE, KUIDAI TANGANYIKA NI HALALI KATIKA MPANGO...
9 Reactions
63 Replies
19K Views
Kuna kila uwezekano kwamba internet itazimwa tena December 09, ikajakuwashwa hata baada ya wiki.
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Watanzania wenzangu, wazazi, migambo, scout, jeshi la Polisi, jeshi la Wananchi, tusimame kidete Kuilinda amani yetu, pasitokee mtu wa kuhujumu amani na uchumi wa nchi yetu, tusimame kidete...
2 Reactions
61 Replies
1K Views
Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewaonya maafisa usafirishaji (Boda boda) likiwataka kuacha kufanya vitu kwa mkumbo kwa kuwa kufanya jambo Kwa mkumbo kunanaweza kusababisha madhara kama...
2 Reactions
6 Replies
394 Views
GT Gen Z wa Mexico wamekinukisha balaa leo na wamepigana hadi police wakakimbia mtaani wakabaki Gen Z pekee wametembea mpaka mji mkuu wa Mexico na mpaka IKULU wamevunja mlango wa IKULU ya Mexico...
15 Reactions
48 Replies
2K Views
Sijawahi kuwa fan wa huyu dada lakini siwezi kupuuza uwezo wake wa jinsi anavyoweza kufanya vingi kwa mpigo kwa kutumia mtandao tu lakini ninachojua kuna muda huwa anaongeza chumvi. kuconnect...
5 Reactions
15 Replies
561 Views
Hatusemi mengi. Huyu mwamba ni dereva na aliuawa huko Salasala. Hakukuwa na ushirikiano kwa ndugu kupewa maiti ya mtu wao mbali na ukweli kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi. Ndugu walikuwa...
7 Reactions
13 Replies
532 Views
"Ninawasihi Wakuu wa Nchi na viongozi wa mataifa kusikiliza kilio cha maskini zaidi. Hakuna amani bila haki. Maskini hutukumbusha hili kwa njia nyingi, kupitia uhamiaji na kupitia kilio chao...
3 Reactions
8 Replies
294 Views
Baba Askofu Bethania Simon Mpembwa, Kiongozi wa Kanisa la Neema ya Kitume, Mbezi Luis Mkoani Dar Es Salaam amesema ni faraja kuona dhamira ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuendelea kulileta...
0 Reactions
10 Replies
305 Views
GT Mfikishieni salamu bibi ya kizimkazi leo ni siku ya 14 kati ya zile mia alizosema aha aha a nachoka mimi mtoto wa mzee mwandambo, dalili zinaonyesha serikali iko paused na hawajui waanze na gia...
3 Reactions
14 Replies
477 Views
Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuwa limezuia maandamano ya CUF kwa hofu kuwa silaha 7 zilizoibiwa Ikwiriri huko Rufiji zingeweza kutumika. Hiyo ni heading ya gazeti moja la leo na binafsi...
9 Reactions
191 Replies
26K Views
Naona mashehe wengi ambao ni mashehena wameamua kuugeuza uislam uchawa. Wanatetea ukatili na mauaji ya Oktoba 29 sijui ni kwa sababu ya dini au uchawa na udini. Mie sijui.
3 Reactions
5 Replies
233 Views
Mhariri wa The Chanzo Khalifa Said anasema kilichotokea Oktoba 29, 2025 ni “natural outcome” ya juhudi za wanaoshikilia madaraka kuminya kila nafasi ya wananchi kushiriki kwenye uendeshwaji wa...
4 Reactions
1 Replies
165 Views
Katibu wa Kamati Maalum vya NEC Zanzibar , Idara ya Itikadi ,Uenezi na Mafunzo, Khamisi Mbeto Khamis ,ameeleza hayo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Visiwani humu Mbeto alisema matatizo...
2 Reactions
9 Replies
310 Views
1 Reactions
4 Replies
204 Views
Mange kimambi aliwaambia vijana wasiogope walambe pasi ya moto tarehe 29 wataokolewa na wajeda. Vijana wa Dar wakalamba pasi ya moto kwa siku moja na nusu wakaona hakuna ukombozi wakaacha...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Ninafurahi kuona alichokizungumza Rais Museveni wa Uganda ndio yamekuwa maoni yangu tangu mwanzo juu ya kilichotokea Oktoba 29. 2025. Bahati mbaya kizazi cha Tanzania kwa sasa kimevurugwa na...
0 Reactions
100 Replies
3K Views
Tunajua njama zote zinazofanywa na wenye mamlaka fake kuwatumia polisi. Na polisi walivyo wajinga wanaingia mkenge. Tuko kwenye point of no return. Mpende msipende tunakwenda kuikomboa nchi...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Mtangazaji; Mnafanya mchakato upi ili kupata wagombea?, yaani mna aina gani ya viongozi ambao mnao? Kama mna viongozi ambao wanaweza wakarubuniwa kwa rushwa na wakapokea hii inaleta twaswira gani...
7 Reactions
179 Replies
14K Views
Back
Top Bottom