Katika hotuba ya kufungua bunge siku ya Jana tarehe 14.11.2025 mhe.Rais amezungumzia kuhusu kuanzishwa kwa wazira maalumu ya vijana ili kutatua changamoto za vijana ambao ni zaidi ya 60% ya watu...
Katika Ibada Kuu ya Pasaka ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Mwenge, Dar-Es-Salaam; wakati wa Neno la Pasaka 20.4.2014, lenye kichwa, "JE, KUIDAI TANGANYIKA NI HALALI KATIKA MPANGO...
Watanzania wenzangu, wazazi, migambo, scout, jeshi la Polisi, jeshi la Wananchi, tusimame kidete Kuilinda amani yetu, pasitokee mtu wa kuhujumu amani na uchumi wa nchi yetu, tusimame kidete...
Jeshi la polisi Mkoa wa Geita limewaonya maafisa usafirishaji (Boda boda) likiwataka kuacha kufanya vitu kwa mkumbo kwa kuwa kufanya jambo Kwa mkumbo kunanaweza kusababisha madhara kama...
GT
Gen Z wa Mexico wamekinukisha balaa leo na wamepigana hadi police wakakimbia mtaani wakabaki Gen Z pekee wametembea mpaka mji mkuu wa Mexico na mpaka IKULU wamevunja mlango wa IKULU ya Mexico...
Sijawahi kuwa fan wa huyu dada lakini siwezi kupuuza uwezo wake wa jinsi anavyoweza kufanya vingi kwa mpigo kwa kutumia mtandao tu lakini ninachojua kuna muda huwa anaongeza chumvi.
kuconnect...
Hatusemi mengi.
Huyu mwamba ni dereva na aliuawa huko Salasala. Hakukuwa na ushirikiano kwa ndugu kupewa maiti ya mtu wao mbali na ukweli kuwa aliuawa kwa kupigwa risasi. Ndugu walikuwa...
"Ninawasihi Wakuu wa Nchi na viongozi wa mataifa kusikiliza kilio cha maskini zaidi. Hakuna amani bila haki. Maskini hutukumbusha hili kwa njia nyingi, kupitia uhamiaji na kupitia kilio chao...
Baba Askofu Bethania Simon Mpembwa, Kiongozi wa Kanisa la Neema ya Kitume, Mbezi Luis Mkoani Dar Es Salaam amesema ni faraja kuona dhamira ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuendelea kulileta...
GT
Mfikishieni salamu bibi ya kizimkazi leo ni siku ya 14 kati ya zile mia alizosema aha aha a nachoka mimi mtoto wa mzee mwandambo, dalili zinaonyesha serikali iko paused na hawajui waanze na gia...
Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuwa limezuia maandamano ya CUF kwa hofu kuwa silaha 7 zilizoibiwa Ikwiriri huko Rufiji zingeweza kutumika.
Hiyo ni heading ya gazeti moja la leo na binafsi...
Naona mashehe wengi ambao ni mashehena wameamua kuugeuza uislam uchawa. Wanatetea ukatili na mauaji ya Oktoba 29 sijui ni kwa sababu ya dini au uchawa na udini. Mie sijui.
Mhariri wa The Chanzo Khalifa Said anasema kilichotokea Oktoba 29, 2025 ni “natural outcome” ya juhudi za wanaoshikilia madaraka kuminya kila nafasi ya wananchi kushiriki kwenye uendeshwaji wa...
Katibu wa Kamati Maalum vya NEC Zanzibar , Idara ya Itikadi ,Uenezi na Mafunzo, Khamisi Mbeto Khamis ,ameeleza hayo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Visiwani humu
Mbeto alisema matatizo...
Mange kimambi aliwaambia vijana wasiogope walambe pasi ya moto tarehe 29 wataokolewa na wajeda.
Vijana wa Dar wakalamba pasi ya moto kwa siku moja na nusu wakaona hakuna ukombozi wakaacha...
Ninafurahi kuona alichokizungumza Rais Museveni wa Uganda ndio yamekuwa maoni yangu tangu mwanzo juu ya kilichotokea Oktoba 29. 2025. Bahati mbaya kizazi cha Tanzania kwa sasa kimevurugwa na...
Tunajua njama zote zinazofanywa na wenye mamlaka fake kuwatumia polisi. Na polisi walivyo wajinga wanaingia mkenge.
Tuko kwenye point of no return. Mpende msipende tunakwenda kuikomboa nchi...
Mtangazaji; Mnafanya mchakato upi ili kupata wagombea?, yaani mna aina gani ya viongozi ambao mnao? Kama mna viongozi ambao wanaweza wakarubuniwa kwa rushwa na wakapokea hii inaleta twaswira gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.