Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tumekuwa tukipigiwa kelele sana na watawala wa CCM na vibaraka na machawa wao kuwa HAKI sio priority namba moja dhidi ya AMANI (yaani ukondoo). Lakini Mungu January hii ameamua kutufumbua kwa...
0 Reactions
0 Replies
196 Views
  • Redirect
Namna tulivyochezeshwa leo, itoshe tu kusema, AFCON ni umepigwa mwingi, Refarii mpaka waliokuwa VAR, Lao lilikuwa moja tu Haiwezekani ligi hiyo inajisiwe, wakaamua kusuka harakati za lazima...
0 Reactions
Replies
Views
Katika kipindi ambacho Taifa linapitia majonzi kwa familia nyingi kupoteza Ndugu zao Kwa matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025, na kuacha mayatima wengi bila hata mayatima Hawa kutokuwa wazazi wao...
0 Reactions
10 Replies
379 Views
Katika miezi ya hivi karibuni baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu ulofanyika tarehe 29 Octoba mwaka jana bado kumekuwepo na hali ya sintofahamu pale ambapo watu wapotea tu mitaani na vitongojini...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Niseme kwamba sijapendezwa na wachezaji wa Tanzania pamoja na benchi la ufundi kutaka kuvunja Amani Refa kachezesha kwa Amani wanataka nini tena? Kuandamana, kwa lipi? Eti kudai haki, haki...
14 Reactions
8 Replies
340 Views
“Magumu yaliyokupata wewe, yalikupata kwasababu mimi nilikataa nilikataa Utekaji na mpaka leo nakataa UTEKAJI vilele”-; Bishop Gwajima a.k.a Jasusi la Mbinguni.
3 Reactions
17 Replies
531 Views
Pindi ambapo migogoro inakomeshwa juu juu bila kushughulikia chanzo chake kama dhuluma, ukandamizaji, utekaji, mauaji, ubaguzi, umasikini au kunyimwa haki, hali ya utulivu inayopatikana huwa ya...
3 Reactions
5 Replies
254 Views
Just to think beyond borders! Suppose Maduro mahakama imemuachia huru, hana hatia je Trump atamruhusu kurudi Venezuela? Nini Trump atafanya?
4 Reactions
24 Replies
623 Views
Chaguzi fake, utekaji, rushwa, kufunga wapinzani. Samia na Maduro ni sawa kabisa tuendelee kuomba Mungu atamuondoa tu
0 Reactions
3 Replies
132 Views
Leo yuko Pemba kwenye uzinduzi wa Jengo la Uhamiaji. Lakini huyu mstaafu anahudhuria shughuli hii kama nani na kwa gharama ya nani?
8 Reactions
62 Replies
1K Views
MADHARA YA KUMWAGA DAMU ISIYO NA HATIA KULIKOFANYIKA KTK NCHI YETU Baadhi ya Nukuu ktk hotuba hii: Askofu Gwajima: "...Haiwezekani unamuona mama mmoja anaenda shambani au kwenye shughuli zake...
17 Reactions
35 Replies
927 Views
Venezuela ilikuwa ikitizamwa kwa macho ya matamanio na mataifa haya makubwa ya RUSSIA, CHINA na USA. Kwa muda mrefu. USA amewahi kuinyakua makusudi akijua kama angechelewa wenzake wangefaidika nayo.
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Ogopa sana watu ambao wapo na wewe kwasababu tu ya hela wanaitwa chawa wakati ukienda jera hutawaona endelea kuuwa urais unaisha Machawa wana mchawia kwasababu amewanunua kwa hela ngoja muda...
1 Reactions
3 Replies
150 Views
Utawala wa Venezuela kwa wavenezuela ulikuwa mbovu na mbaya mno kiasi cha kusema ni bora waingie wazungu labda wana huru. Kuibiwa na mtu mweusi, bora mzungu Naungana na mange Kimambi lolote...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Mchungaji Godfrey Malisa, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi mkoani Kilimanjaro akikabiliwa na kosa la uhaini. Kesi hiyo (Namba...
5 Reactions
70 Replies
2K Views
  • Redirect
Kazi ngumu zaidi hapa duniani na ya kutisha zaidi, ni pale mtu anapofikia kiwango cha kudharau uhai wa mtu mwingine na kuamua kuwa muuwaji Ujasiri huuhuu utumike pia siku ya Kesho kumwangamiza...
0 Reactions
Replies
Views
Taarifa ya hivi punde... Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo. KWA KINA: Thadei Kweka ameachiwa huru leo...
73 Reactions
224 Replies
6K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) ameweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa Jengo la mafunzo kwa watumishi wa Umma katika Chuo cha Utawala wa...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Back
Top Bottom