Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Sasa ubebovu wake nini? Mbona kwenye mahakama za kimataifa ambazo ni huru tunapolipa fidia za mabilioni haonyeshi huo ubebovu wake. Hizi za hapa ndani ni za kichawa kama wewe hapo
 
Sasa ubebovu wake nini? Mbona kwenye mahakama za kimataifa ambazo ni huru tunapolipa fidia za mabilioni haonyeshi huo ubebovu wake. Hizi za hapa ndani ni za kichawa kama wewe hapo
kwa maoni yangu,
wakili huyu mbobevu anastahili tuzo na tunzo ya kitaifa kwa namna anavyotekeleza majukumu yake kizalendo, weledi na kwa umahiri mkubwa 🐒
 
Back
Top Bottom