Ilikuwa Siyo rahisi Uitenganishe CCM na ufisadi, CHADEMA na ukabila, CUF na Udini

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,

CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,

CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,

CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,

Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu

Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha

Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,
 
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,

CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,

CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,

CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,

Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu

Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha

Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,
Kwenye ufisadi wa ccm ni sawa.
Ongeza ukabila.
Au hilo hujaliona huko kwenu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,

CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,

CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,

CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,

Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu

Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha

Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,
Mkuu umeandika fair article. Mkada wa ccm hutawaona hapa coz umeandika truth.
Umepatia kote isipokuwa hapo kwenye ukabila.. i have been tracking movement za cdm nikagundua hizo kelele za ukabila zimeanzishws na ccm baada ya lowassa kwenda cdm.
Hata hivyo structure ya cdm wachaga ni kidogo sana makabila mengi yamo mule.

Okay so now lowassa karud ccm je wataendelea kupigia kelele suala la ukabila.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeandika fair article. Mkada wa ccm hutawaona hapa coz umeandika truth.
Umepatia kote isipokuwa hapo kwenye ukabila.. i have been tracking movement za cdm nikagundua hizo kelele za ukabila zimeanzishws na ccm baada ya lowassa kwenda cdm.
Hata hivyo structure ya cdm wachaga ni kidogo sana makabila mengi yamo mule.

Okay so now lowassa karud ccm je wataendelea kupigia kelele suala la ukabila.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukabila umepungua CHADEMA baada ya kelele, tuwe wakweli wale wote wa kaskazini, tulikuwa Kwa CHADEMA
 
Mkuu umeandika fair article. Mkada wa ccm hutawaona hapa coz umeandika truth.
Umepatia kote isipokuwa hapo kwenye ukabila.. i have been tracking movement za cdm nikagundua hizo kelele za ukabila zimeanzishws na ccm baada ya lowassa kwenda cdm.
Hata hivyo structure ya cdm wachaga ni kidogo sana makabila mengi yamo mule.

Okay so now lowassa karud ccm je wataendelea kupigia kelele suala la ukabila.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukabila umepungua CHADEMA baada ya kelele, tuwe wakweli wale wote wa kaskazini, tulikuwa Kwa CHADEMA
 
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,

CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,

CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,

CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,

Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu

Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha

Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,
Chadema ukabila unakujaje kwa mfano?
 
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,

CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,

CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,

CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,

Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu

Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha

Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,
Duh aisee kiasi umepatia.
 
Mkuu umeandika fair article. Mkada wa ccm hutawaona hapa coz umeandika truth.
Umepatia kote isipokuwa hapo kwenye ukabila.. i have been tracking movement za cdm nikagundua hizo kelele za ukabila zimeanzishws na ccm baada ya lowassa kwenda cdm.
Hata hivyo structure ya cdm wachaga ni kidogo sana makabila mengi yamo mule.

Okay so now lowassa karud ccm je wataendelea kupigia kelele suala la ukabila.?

Sent using Jamii Forums mobile app
ukabila had none to do with Lowassa
unajaribu kupotezea machungu ya ukweli
chama cha kifamilia na uongozi wa kiukoo
kambi zake kuu ziko kaskazini
uteuzi wa viti maalum wa moshi anateuliwa Songea nk
 
Back
Top Bottom