britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Huu ukweli ambao ukiusema mbele ya viongozi wa vyama hawa utaishia kuonekana we ni mtu wa ajabu,
CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,
CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,
CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,
Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu
Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha
Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,
CCM
chama hiki kimejikita sana kuwa cha kuwaficha wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi, wanofanya biashara ya magendo, kisa walikuwa ndani ya System so rahis kuguswa,
CHADEMA
Katika ukweli mwingine chama hiki kimejaa sana ukabila, nautaja UCHAGA NA UKASKAZINI,
CUF
Hawa wamejaa uislamu mwingi sana, na ndo maana ngome nyingi zao ni maeneo yenye uislamu ,
Ngazi zote za uongozi wa juu kila mkoa ni waislamu
Ila kwa sasa naona vyama vinaanza kujirekebisha
Leo Ntapokea mapovu mengi ya vyama vyote naona huyu wa comment ya kwanza anawaza cha kusema,