Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati 'Tume Huru ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea Nchini Oktoba 29.2025 na siku zilizofuata' ikiendelea na majukumu yake, na wakati huu ambao inatajwa kwamba baadhi ya...
5 Reactions
25 Replies
800 Views
Ndiyo mwendo na siyo coincidence, ni deliberate move from the so called judiciary! Takataka
8 Reactions
16 Replies
394 Views
Wakuu, Polisi wameongezeka jijini (Dar es Salaam) kuliko kawaida, maeneo karibu na Mahakama Kuu na sehemu walikokinukisha idadi ya polisi wenye silaha imeongezeka kwa wingi, mpaka wananchi...
8 Reactions
32 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ameshiriki katika Mkutano wa Tano wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (Joint Permanent Commission - JPC), kati ya Jamhuri ya...
2 Reactions
9 Replies
254 Views
13 March 2026 MAHAKAMA KUU TANZANIA YATUPILIA MBALI KESI DHIDI YA TUME YA JAJI CHANDE YA KUCHUNGUZA KILICHOPELEKEA MAANDAMANO NA MAUAJI YA OKTOBA / NOVEMBER 2026 Kesi Nambari 30210 / 2025 dhidi...
1 Reactions
12 Replies
472 Views
UAE President His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan today received a phone call from Her Excellency Dr Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, who expressed...
6 Reactions
28 Replies
782 Views
Makubaliano hayo yatajikita katika, Kukabiliana na majanga na kutoa msaada wa kibinadamu ni sehemu muhimu ya kudumisha usalama wa kitaifa na wa kimataifa. Leo, Ubalozi wa Marekani uliwasilisha...
3 Reactions
33 Replies
726 Views
Makamu wa Rais, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasihi viongozi wa dini na Watanzania kwa ujumla kutumia kipindi cha toba cha Ramadhani na Kwaresma kuiombea nchi, viongozi wa serikali na vyama...
5 Reactions
25 Replies
615 Views
Nyoka aibuka ghafla kwenye mkutano wa Waziri Mkuu. Ni wakati mama mmoja akieleza namna binti yake alivyouwawa huko Sumbawanga na kuzikwa kimya kimya na familia ya mwanaume aliyekuwa akiishi na...
6 Reactions
16 Replies
753 Views
Eti Grace Samia Suluhu! Eti mtoto hujui kesho yake? Vipi yule mama ambae aliuliwa kule Arusha ili tu Samia abaki madarakani?
8 Reactions
44 Replies
752 Views
Katika kuongeza mapato nchini na ukizingatia SGR inajaza siku 5 kabla ya safari. Inafaa sasa SGR kwa kushirikiana na TRA waaanzishe Kodi kwa abiria na Wasindikizaji wote angalau 20,000/= kila trip.
3 Reactions
9 Replies
684 Views
Kwa nini iwe Nchimbi? Na isiwe CCM iliyojirekebisha? Kwamba Nchimbi akipewa urais 2030 hali ya mambo itakaa sawa? Ufisadi utaisha? Nepotism itaisha? Kwa nini Nchimbi ndio aonekane kuwa ndio...
5 Reactions
34 Replies
563 Views
  • Redirect
Chama cha Denokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres, kikieleza wasiwasi wake juu ya iwapo mwakilishi waliyekutana naye, Parfait...
1 Reactions
Replies
Views
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika (UNOAU), Bw. Parfait OnangaAnyanga, ambaye ni Mjumbe Maalum...
3 Reactions
38 Replies
943 Views
Geneva, Uswisi. Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Women in Social Entrepreneurship, Dkt. Astronaut Bagile, ametoa wito kwa Serikali, wadau wa maendeleo, asasi za kiraia na wananchi kwa ujumla...
1 Reactions
6 Replies
229 Views
Suala la kuifungia star tv na redio free africa ni kuuwa nchi kiuchumi na kiteknolojia inaonekana kuna muhuni amekataliwa kununua hiyo kampuni. Kwa hii serikali haramu sishangia kusikia star tv...
5 Reactions
14 Replies
528 Views
Asanteni sana wananchi wa Mkoa wa Rukwa. Kazi Inaendelea, Hodi Mkoa wa Katavi. Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
0 Reactions
2 Replies
206 Views
Ni kilio cha wasanii kila kona.. Wamekumbuka shuka kumeshakucha.. ! Hakuna drama tena Hakuna new followers tens Hata wanaotoa nyimbo mpya hazi hit tena! Ni kilio na mahangaiko.. Gen Z...
22 Reactions
40 Replies
2K Views
Mutungi akiwa Msajili wa vyama vya sasa alinyamazia KILA uchafu ulipangwa mapema kwa lengo la kuvuruga Uchaguzi Huyu alijua njama zote n.a. uchafu wote akishirikiana n.a. Kailima n.a. Mwambegele...
3 Reactions
13 Replies
282 Views
Back
Top Bottom