Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu wa Taasisi ya Twariqa, Sheikh Haruna Hussein, amewaasa waumini wa dini ya Kiislamu kutumia kipindi cha baada ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufanya dua na kuliombea taifa...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi...
0 Reactions
2 Replies
201 Views
Yooote yanakwenda na mtaro wa maji machafu as long as maisha ya watu hukuyapa thamani na ukayapoteza. 1. Watu wasiojulikana walianza kipindi cha Magufuli 2. Where is Ben Saanane 3. ......And many...
5 Reactions
18 Replies
426 Views
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu amekamatwa jioni ya Marchi 17, 2025 pamoja na viongozi wa Ngome ya Wanawake na wa Mkoa wa Kagera wakati ya misa ya kumuombea Marehemu Dafroza...
2 Reactions
5 Replies
244 Views
Wakuu Nimekutana na watu wengi huko status na Instagram wanampost Jiwe wakikumbuka kifo chake. Wengine wanamsifia wanasema sijui watamkumbuka mara sijui alikuwa ana upendo kwa taifa Yaani mtu...
10 Reactions
44 Replies
760 Views
Kila tarehe 17 ya mwezi wa tatu ni siku ya maumivu makali kwa Watanzania. Kila ikifika tarehe hiyo ni kama donda lililopona linatoneshwa tena na maumivu kuanza upya, watu wanamkumbuka Hayati...
12 Reactions
84 Replies
4K Views
Tangu tupate Uhuru haijawahi kutokea Mkuu wa Majeshi (CDF) kulihutubia Taifa kwa njia yo yote ile. Jambo lililo wastaajabisha wengi ni pale CDF General Mkunda alipojitokeza mbele ya vyombo vya...
40 Reactions
87 Replies
3K Views
Mkoani Arusha katika ukumbi wa Centre House, Kanisani Road, Uzunguni kunafanyika mjadala wa wazi ukiangazia suala la Amani na yaliyotokea wakati wa uchaguzi wa Octoba 29, 29. Viongozi wa Dini...
1 Reactions
15 Replies
360 Views
Askofu Shoo ameyasema kauli hiyo leo Machi 18, 2026 katika Mjadala wa wazi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Centre Hou, ukihusisha Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29...
0 Reactions
0 Replies
151 Views
Akijibu hoja ya Athuman Mwachuma kuhusu baadhi viongozi wa dini kuwajengea chuki vijana katika mahubiri yao, Askofu Shoo amesema kuwa vijana wasikimbilie kuwalaumu viongozi wa dini kwa sababu...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, Athuman Mwachuma...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
'Viongozi wengi wa kidini wamekuwa wakituendesha katika madhehebu yetu katika misikiti yetu lakini wengi sana wamekuwa na kasumba udini katika siasa zao, yaani kiongozi wa dini uko kanisani na...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, kijana mmoja amehoji...
1 Reactions
6 Replies
352 Views
Katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaoendelea leo Machi 18, 2026 Arusha kwenye ukumbi wa Centre house, Bwana Ezra amesema kuwa...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi...
0 Reactions
6 Replies
254 Views
Akizungumza leo Machi 18, 2026 katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaofanyika Arusha katika ukumbi wa Centre House, amesisitiza...
1 Reactions
2 Replies
213 Views
KupitiaMjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 unaondelea leo Machi 18, 2026 katika ukumbi wa Centre House, Kijana mmoja amehoji ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Mwananchi mmoja akizungumza katika Mjadala wa wazi kati ya viongozi wa dini na wananchi juu ya amani ya yaliyotokea Oktoba 29, 2025, ameeleza kuwa kama vijana wanakuwa wanataka kutoa maoni kwa...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Huyu mzee JPM r.i.p alikataa hizi tume aliona ni kutumia vibaya kodi za wananchi maskini leo hii kila jambo linaitaji tume then what next ni upotezaji wa kodi za walala hoi hizo tume zinatumia...
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza leo Machi 18, 2026 Ikulu Dar es Salaamakipokea ripoti ya tume ya rais ya kutathmini maboresho ya mfumo wa kodi nchini, amesema kwamba siku hizi misaada...
1 Reactions
20 Replies
613 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…