Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://youtu.be/Uh_BmX-vR54
7 Reactions
10 Replies
356 Views
Bwana Mtafungwa unataka nije kuripoti nini kwako? Yaani nije kukupa ripoti ya jambo ambalo unalijua ili iweje? Hiyo gari yenye namba fake ambayo inatoka ofisi ya RCO unataka nije kukuambia nini...
39 Reactions
70 Replies
1K Views
Kuna utapeli wa aina nyingi sana kwenye miamala ya kifedha na mtandaoni, kila siku wezi wanabuni mbinu mpya. Umakini unahitajika sana, hesabu pesa na kucheki balance kila unapofanya muamala wa...
3 Reactions
1 Replies
134 Views
Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi wa maombi madogo ya zuio la kufanya shughuli za kisiasa kwa CHADEMA Agosti 28, 2026 saa tisa alasiri. Maombi hayo...
0 Reactions
4 Replies
161 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la leo, nikiuzungumzia msemo wa "tell the truth and the truth will set you free", Tanzania tumefikishwa hapa na viongozi wanao chelea...
9 Reactions
21 Replies
296 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa taasisi za fedha duniani pamoja na wawekezaji wa kimataifa kushirikiana na Tanzania, akisisitiza kuwa Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
102 Views
Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais. Wakati nchi ya Singapore ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu akamuomba aje...
6 Reactions
22 Replies
359 Views
Mzee Bwatubwatu, Mungu akikunyima akili angalau akupe busara . Ukikosa vyote huwa ukipewa chakula ukala ukashiba basi unaanza kutoa gesi tu bila aibu. Kwa sasa Makambas wamekuwa Makambakos...
3 Reactions
24 Replies
757 Views
Katika makala yake yenye kichwa "Terrorising Academic Freedom in Tanzania" Profesa Issa Shivji amekosoa mashitaka ya ugaidi yanayoendelea nchini, akisema ni ukandamizwa kwa uhuru wa kitaaluma na...
14 Reactions
15 Replies
556 Views
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechagua mfumo wa demokrasia ya vyama vingi. Hii ina maana kwamba uwepo wa vyama tofauti vya siasa si tatizo bali ni sehemu ya msingi wa utawala wetu wa...
3 Reactions
8 Replies
94 Views
Watanganyika wameikataa CCM. Hawatishiki kwa kesi na matumizi ya vyombo vya dola.👇
7 Reactions
5 Replies
390 Views
Utawala wa sheria maana yake nini? Kama Watuhumiwa wakipotea chadema hawataki na wakipelekwa chadema mahakamani hawataki pia, Wanataka nini?. Kuchoma mali za umma na za wengine hata ukiwa na...
1 Reactions
93 Replies
716 Views
Wanabodi, Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums. Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
49 Reactions
244 Replies
5K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuongeza thamani ya rasilimali zake na kuimarisha miundombinu ya kikanda ili kujenga uchumi imara na...
0 Reactions
1 Replies
59 Views
Tiyari huko
34 Reactions
194 Replies
10K Views
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally, amefunguka kuhusu safari yake ya kutoka kwenye taaluma ya ufundishaji katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kuingia kwenye uongozi wa...
2 Reactions
9 Replies
281 Views
  • Featured
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika amesema kuwa chama hicho na Mwenyekiti wake Tundu Lissu mpaka hivi sasa hakijafanya mazungumzo yoyote na serikali huku akiipinga kauli...
18 Reactions
31 Replies
1K Views
WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa katika kilimo, mifugo na uvuvi kwa lengo...
0 Reactions
0 Replies
35 Views
https://www.youtube.com/watch?v=5g9jC1GuadI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa AFRICA5O na Jukwaa la Miundombinu Afrika (INFRA...
0 Reactions
2 Replies
66 Views
Dkt. Azaveli Lwaitama, ametoa wito mzito kwa serikali na wadau wa siasa kuchukua hatua za makusudi na za kisheria ili kujenga mazingira ya kuaminiana na kurejesha maridhiano ya kweli miongoni mwa...
3 Reactions
4 Replies
87 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…