Bwana Mtafungwa unataka nije kuripoti nini kwako?
Yaani nije kukupa ripoti ya jambo ambalo unalijua ili iweje?
Hiyo gari yenye namba fake ambayo inatoka ofisi ya RCO unataka nije kukuambia nini...
Kuna utapeli wa aina nyingi sana kwenye miamala ya kifedha na mtandaoni, kila siku wezi wanabuni mbinu mpya.
Umakini unahitajika sana, hesabu pesa na kucheki balance kila unapofanya muamala wa...
Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam inatarajia kutoa uamuzi wa maombi madogo ya zuio la kufanya shughuli za kisiasa kwa CHADEMA Agosti 28, 2026 saa tisa alasiri.
Maombi hayo...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la leo, nikiuzungumzia msemo wa "tell the truth and the truth will set you free", Tanzania tumefikishwa hapa na viongozi wanao chelea...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa taasisi za fedha duniani pamoja na wawekezaji wa kimataifa kushirikiana na Tanzania, akisisitiza kuwa Tanzania...
Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais.
Wakati nchi ya Singapore ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu akamuomba aje...
Mzee Bwatubwatu, Mungu akikunyima akili angalau akupe busara . Ukikosa vyote huwa ukipewa chakula ukala ukashiba basi unaanza kutoa gesi tu bila aibu.
Kwa sasa Makambas wamekuwa Makambakos...
Katika makala yake yenye kichwa "Terrorising Academic Freedom in Tanzania" Profesa Issa Shivji amekosoa mashitaka ya ugaidi yanayoendelea nchini, akisema ni ukandamizwa kwa uhuru wa kitaaluma na...
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechagua mfumo wa demokrasia ya vyama vingi. Hii ina maana kwamba uwepo wa vyama tofauti vya siasa si tatizo bali ni sehemu ya msingi wa utawala wetu wa...
Utawala wa sheria maana yake nini?
Kama Watuhumiwa wakipotea chadema hawataki na wakipelekwa chadema mahakamani hawataki pia, Wanataka nini?. Kuchoma mali za umma na za wengine hata ukiwa na...
Wanabodi,
Mwaka Huu 2026 JF Inatimiza Miaka 20!, tangu uwepo wake, tangu enzi zile za JamboForums.
Pia soma Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa mataifa ya Afrika kuongeza thamani ya rasilimali zake na kuimarisha miundombinu ya kikanda ili kujenga uchumi imara na...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. Bashiru Ally, amefunguka kuhusu safari yake ya kutoka kwenye taaluma ya ufundishaji katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kuingia kwenye uongozi wa...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika amesema kuwa chama hicho na Mwenyekiti wake Tundu Lissu mpaka hivi sasa hakijafanya mazungumzo yoyote na serikali huku akiipinga kauli...
WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI.
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa katika kilimo, mifugo na uvuvi kwa lengo...
https://www.youtube.com/watch?v=5g9jC1GuadI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa AFRICA5O na Jukwaa la Miundombinu Afrika (INFRA...
Dkt. Azaveli Lwaitama, ametoa wito mzito kwa serikali na wadau wa siasa kuchukua hatua za makusudi na za kisheria ili kujenga mazingira ya kuaminiana na kurejesha maridhiano ya kweli miongoni mwa...