Nashauri Wilbard Chambulo ateuliwe kuwa Waziri wa Utalii

Nashauri Wilbard Chambulo ateuliwe kuwa Waziri wa Utalii

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2011
Posts
3,820
Reaction score
5,822
Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais.

Wakati nchi ya Singapore ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu akamuomba aje awe Waziri wa Fedha alisaidie taifa lake. Jamaa akaacha mshahara mkubwa akaja serikalini akilipywa kama 30% ya mshahara wake. Wale jamaa walifanya vituko vikubwa vya mapinduzi ya uchumu Singapore leo ni superpower wa uchumi.

ni hilo tu. Naona yule babu kama muhindi mwenye lafudhi ya kichaga na nyele zenye mvi anafaa sana kwa kauli zake. Maana maneno ni matokeo ya kile kilichoujaza moyo.

Nafurahi sana kumsikia. Akipigwa brash kidogo atafaa.

Nawasilisha.

1785913660487.png

Mwenyekiti wa Chama cha Waendeshaji Watalii Tanzania (TATO), Wilbard Chambulo
 
Asubiri kwanza nchi ikae sawa maana hata akiwa na hicho cheo unachopendekeza wewe Bado itakuwa ni kazi bure tu watamharibu wale jamaa wa mapambio wewe muone yule jamaa sijui wanamwita NNANAUKA waziri wa vijana kabla hajaingia mbogamboga alikuwa smart sana ona sasa hivi alivyokuwa wa hovyo chini ya huu utawala
 
Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais.

Wakati nchi ya Singapole ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu. Akamuomba aje awe waziri wa fedha alisaidie taifa lake. Jamaa akaacha mshahara mkubwa akaja serikalini akilipywa kama 30% ya mshahara wake. Wale jamaa walifanya vituko vikubwa vya mapinduzi ya uchumu Singapole leo ni superpower wa uchumi.

ni hilo tu. Naona yule babu kama muhindi mwenye lafudhi ya kichaga na nyele zenye mvi anafaa sana kwa kauli zake. Maana maneno ni matokeo ya kile kilichoujaza moyo.

Nafurahi sana kumsikia. Akipigwa brash kidogo atafaa.

Nawasilisha.
Wewe unataka kummaliza kibiashara huyo mzee.
Siasa na biashara kamwe haziendi pamoja.

Huyo mzee Samburo abaki na biashara yake na anaiweza sana.
Wacha tushikane mashati na hawa nguru mbili wenzetu.
 
Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais.

Wakati nchi ya Singapole ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu. Akamuomba aje awe waziri wa fedha alisaidie taifa lake. Jamaa akaacha mshahara mkubwa akaja serikalini akilipywa kama 30% ya mshahara wake. Wale jamaa walifanya vituko vikubwa vya mapinduzi ya uchumu Singapole leo ni superpower wa uchumi.

ni hilo tu. Naona yule babu kama muhindi mwenye lafudhi ya kichaga na nyele zenye mvi anafaa sana kwa kauli zake. Maana maneno ni matokeo ya kile kilichoujaza moyo.

Nafurahi sana kumsikia. Akipigwa brash kidogo atafaa.

Nawasilisha.
Sio mchaga bali ni chotara wa kijerumani na mchaga. Ana hela nyingi kiasi sio mtu wa kupangiwa, labda awe rais. Hiyo lafudhi ni kiswahili cha watu wa Arusha.
 
Kuna mzee mmoja anaongea mambo ya maana tena mbele ya Rais.

Wakati nchi ya Singapole ilipohitaji kujiimarisha kiuchumi Rais Lee Kuan Yew alimfuata jamaa mmoja aliyekuwa ni muhasibu. Akamuomba aje awe waziri wa fedha alisaidie taifa lake. Jamaa akaacha mshahara mkubwa akaja serikalini akilipywa kama 30% ya mshahara wake. Wale jamaa walifanya vituko vikubwa vya mapinduzi ya uchumu Singapole leo ni superpower wa uchumi.

ni hilo tu. Naona yule babu kama muhindi mwenye lafudhi ya kichaga na nyele zenye mvi anafaa sana kwa kauli zake. Maana maneno ni matokeo ya kile kilichoujaza moyo.

Nafurahi sana kumsikia. Akipigwa brash kidogo atafaa.

Nawasilisha.
Unamaanisha Mr. Chamburiro? Wale ndio wazee wa biashara ya utalii tangu wakiwa vijana! Lazima mambo ya utalii ayafahamu sana! Ila like takataka lenu lina uwezo wa kufanya kazi na wenye akili?
 
Marais wetu wanaishiaga kufurahishwa na michango yao tu, hawawezi kuwatumia ili wawasaidie na hayo mawazo yao mazuri. Wanaishia kuchekewa na kupigiwa makofi na anaachwa hapohapo nao wanarudi na yaleyale mawazo yao waliyowaletea wananchi baasi
 
Huyu anajua kuongea ila uhalisia haupo , yeye ni mfanyabiashara sio kwamba anajua kila kitu ..Ogopa sana wapiga domo , kuna mmoja anajiita ''Mshauri wa serikali '' yuko tiktok , ni mchga anapenda kutoa ushauri , kuna siku kiboya alikuja kushawishi watu wajiunge na ''Kalynda '' wakapigwa pesa zao .

Hao ni mdomo tu kama wachokonozi ila kwenye uhalisia ni kugumu , vyema akawa kwenye hizo bodi ya utalii maana yeye ni kiongozi ...
 
Huyu anajua kuongea ila uhalisia haupo , yeye ni mfanyabiashara sio kwamba anajua kila kitu ..Ogopa sana wapiga domo , kuna mmoja anajiita ''Mshauri wa serikali '' yuko tiktok , ni mchga anapenda kutoa ushauri , kuna siku kiboya alikuja kushawishi watu wajiunge na ''Kalynda '' wakapigwa pesa zao .

Hao ni mdomo tu kama wachokonozi ila kwenye uhalisia ni kugumu , vyema akawa kwenye hizo bodi ya utalii maana yeye ni kiongozi ...
Uwaziri ni kazi ya kisiasa inahitaji sana lugha ya kidiplomasia. Sasa huyu Kaburu anamwita Rais, Kamanda ataweza wapi hiyo kazi? Kaburu aachwe kwenye biashara zake maana ni mzuri sana eneo hilo
 
Uwaziri ni kazi ya kisiasa inahitaji sana lugha ya kidiplomasia. Sasa huyu Kaburu anamwita Rais, Kamanda ataweza wapi hiyo kazi? Kaburu aachwe kwenye biashara zake maana ni mzuri sana eneo hiloHuy
Huyo ni mpiga domo kama wale wachokonozi sio rahisi anavyoongea , hana utekelezaji .
 
Unamaanisha Mr. Chamburiro? Wale ndio wazee wa biashara ya utalii tangu wakiwa vijana! Lazima mambo ya utalii ayafahamu sana! Ila like takataka lenu lina uwezo wa kufanya kazi na wenye akili?
unamaanisha kale kamama kafupi kakilaza?!
 
Back
Top Bottom