Dr. Lwaitama: Walioshiriki Uchaguzi Wanaridhiana Nini?

Dr. Lwaitama: Walioshiriki Uchaguzi Wanaridhiana Nini?

Tena waTanzania zaidi ya milioni 30, ambao miongoni mwao asilimia 98 walimchagua huyo anayetafuta maridhiano kwa udi na ubani!

Sijui anataka kitu gani tena toka kwa waTanzania hawa.

Licha ya hivyo, yeye mwenyewe hachoki kutamka kwamba "kisiasa tupo vizuri sana"!

Huyu mtu kichwani zinamtosha kweli?
 
Tunaongozwa na Form four Fairule.
1. Anakwambia walioandama October 29 sio watanzania ni Raia wa nchi jirani.

2. Walioandamana wamelipwa pesa Ili waandamane kuitoa selikali (kumpindua).

3. Wazazi hawakuwafundisha watoto wao utii ndio manaa waliwaua 2025.

4. Kifo ni kifo.

5. Atawachapa Mikwaju Gen Z
 
Tena waTanzania zaidi ya milioni 30, ambao miongoni mwao asilimia 98 walimchagua huyo anayetafuta maridhiano kwa udi na ubani!

Sijui anataka kitu gani tena toka kwa waTanzania hawa.

Licha ya hivyo, yeye mwenyewe hachoki kutamka kwamba "kisiasa tupo vizuri sana"!

Huyu mtu kichwani zinamtosha kweli?
Kisiasa tuko vizuri sana sasa kama ni hivyo kwa nini tutumie hela ya umma kutafuta maridhiano wakati watoto mashuleni wanakaa chini na maji ni taabu sana sehemu nyingi za nchi hii???
 
Kisiasa tuko vizuri sana sasa kama ni hivyo kwa nini tutumie hela ya umma kutafuta maridhiano wakati watoto mashuleni wanakaa chini na maji ni taabu sana sehemu nyingi za nchi hii???
Tunaongozwa na genge la wahuni hasa.. Hakuna wanasiasa ndani ya CCM.
 
Itachukua muda sana kuwatoa wahuni kwa njia za kistaarabu!!! Na inaweza isitokee!! Siku Wananchi wakishatambua vizuri kuwa wanaongozwa na magangsters then tunaweza kuikomboa nchi. Lakini wakiona kuwa wanaongozwa na watu wastarrabu wamevaa ushungi, suti nakwambia ukweli it will take some years kuwaondoa magangsters
 
Tena waTanzania zaidi ya milioni 30, ambao miongoni mwao asilimia 98 walimchagua huyo anayetafuta maridhiano kwa udi na ubani!

Sijui anataka kitu gani tena toka kwa waTanzania hawa.

Licha ya hivyo, yeye mwenyewe hachoki kutamka kwamba "kisiasa tupo vizuri sana"!

Huyu mtu kichwani zinamtosha kweli?
muoneeni huruma maana ni DAMU za ndugu zetu aliowaua MO29 zinamuhangaisha. Hatokuwa na AMANI KAMWE!
 
Back
Top Bottom