and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,257
- 39,790
Huyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla sana? Kutwa anacheza kwenye viunga kama kwake. Hivi alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
Kuna siku mjombako alisema hivi, "Kuna kikundi cha watu wachache wanataka kunipangia cha kufanya, Mimi nawaambia sipangiwi, Mimi ni Rais jiwe kweri kweri"Huyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla? alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
Asante sana. RIEP JiweKuna siku mjombako alisema hivi, "Kuna kikundi cha watu wachache wanataka kunipangia cha kufanya, Mimi nawaambia sipangiwi, Mimi ni Rais jiwe kweri kweri"
Sikumbuki ilikuwa kwenye inshu Gani alipotoa kauli hiyo, na sijui kama inahusiana na unachouliza.
Kila Shetani na Mbuyu wake - WAHENGA WALISEMA.Huyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla sana? Kutwa anacheza kwenye viunga kama kwake. Hivi alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
uko sahihi gentleman 🤝MAGUFULI ALIKUWA WAPI ENZI ZA NYERERE?
Ewaaah. !Kuna siku mjombako alisema hivi, "Kuna kikundi cha watu wachache wanataka kunipangia cha kufanya, Mimi nawaambia sipangiwi, Mimi ni Rais jiwe kweri kweri"
Sikumbuki ilikuwa kwenye inshu Gani alipotoa kauli hiyo, na sijui kama inahusiana na unachouliza.
Alikua jela huko zimbabweHuyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla sana? Kutwa anacheza kwenye viunga kama kwake. Hivi alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
Unataka kusema hata Doumbia anaweza kufunga goli mkuu akitengenezewa nafasi?...Goli liko wazi awamu hii nikujifungia tu mabao hovyo hata kwa mastraika butu!