Wicknell Chivayo alikua wapi enzi za Magufuli?

Wicknell Chivayo alikua wapi enzi za Magufuli?

Huyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla? alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
Kuna siku mjombako alisema hivi, "Kuna kikundi cha watu wachache wanataka kunipangia cha kufanya, Mimi nawaambia sipangiwi, Mimi ni Rais jiwe kweri kweri"

Sikumbuki ilikuwa kwenye inshu Gani alipotoa kauli hiyo, na sijui kama inahusiana na unachouliza.
 
Kuna siku mjombako alisema hivi, "Kuna kikundi cha watu wachache wanataka kunipangia cha kufanya, Mimi nawaambia sipangiwi, Mimi ni Rais jiwe kweri kweri"

Sikumbuki ilikuwa kwenye inshu Gani alipotoa kauli hiyo, na sijui kama inahusiana na unachouliza.
Asante sana. RIEP Jiwe
 
Kuna siku mjombako alisema hivi, "Kuna kikundi cha watu wachache wanataka kunipangia cha kufanya, Mimi nawaambia sipangiwi, Mimi ni Rais jiwe kweri kweri"

Sikumbuki ilikuwa kwenye inshu Gani alipotoa kauli hiyo, na sijui kama inahusiana na unachouliza.
Ewaaah. !
Mjomba alikuwa jiwe kweri kweri !
 
Ma CCM mtandao wamewapa.
1. Mzanzibar
2. Mke wa pili.
3. Mswahili.
4. Asiye na uzalendo hata kidogi na tanganyika.
5. Tumepigwa na kitu kizito mno.

KUNA KILA LAANA YA UONGOZI KWENYE TAIFA LETU
 
Back
Top Bottom