Machi 25, 2026
DODOMA, TANZANIA – Katika kinachoweza kuonekana kuwa ni ushindi mkubwa kwa watetezi wa uhuru wa kidijitali barani Afrika, Mahakama Kuu ya Tanzania imetupilia mbali mfululizo wa...
Zanzibar kwa kutumia mamlaka yao ya ndani imekuwa ikisajili meli za walanguzi wa madawa ya kulevya na kuwaruhusu kutumia bendera ya Tanzania. Hali hii imeiweka Tanzania katika hali mbaya sana...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!
Kazi na Utu...!
Kwa fahari kubwa sana na kwa tabasamu lisilo kifani na nikiwa kama mdau wa muda mrefu hapa JF mwenye kuipambania kero ya kutokuwepo kwa bima ya...
Sidhani kama inasaidia kama Mteuzi hatakiri ukweli wa 29.10.2025 kuwa yanahitaji uwajibikaji.
Ukweli na uwajibikaji, then unawateua hao kuonesha good gesture.
Lazima ukweli ujulikane nani alitoa...
Hili ni tatizo kubwa sana kwa watu wa bara la Africa hasa hawa viongozi wa vyama vya upinzani mfano hawa CHADEMA tunaona viongozi karibia wote wamekabidhi familia zao zote kwa mabeberu, huku ni...
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA RAIS WA RWANDA, PAUL KAGAME
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Rais...
Bado tunaendelea kukumbatia mambo ambayo yalisababisha watu tarehe 29 kuandamana kama ufisadi wa kutisha,uhuni wa kuua na kuteka watu,uchawa,uongozi mbovu,rushwa kila eneo,uchumi mmbovu,dharau za...
Jambo rafiki!
Moja kwa moja kwenye mada. Hii ndiyo orodha yangu ya Maraisi bora kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho tangu tupate uhuru.
NB: Mimi ni mtoto wa 90's, kwahiyo wengine nimefanya utafiti...
HUU SIO MKUTANO/KIKAK CHA CCM
Hawa ni waalimu wa Shule za Msingi na Sekondari kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania.
Ni wale waalimu wafia Chama( CCM DAMU), wengi wao walisimamia uchafuzi wa...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Mtwara, Komredi Joseph Mkuyu Peneza, ameandika historia kwa kufanikisha harusi ya binti yake, iliyofanyika jijini Dar es...
Hiyo heading imemaliza kila kitu. Kwahiyo, kama wabaya wake wanafikiri wanamkoa, wajue tu wanajidanganya na zaid wanaingia katika historia kama ile ya Makaburu waliomfunga Mandela jela kwa...
Siku ya Kimataifa ya Wanasiasa Duniani kuanza kuadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Juni siku ya kuzaliwa muasiasi wa "POLITICIANS DAY(International Political Day).
Wakuu nina maswali kuhusu Bima ya Afya na ningeomba haya maswali yajibiwe na wahusika.
Swali la kwanza:
Kwanini mgonjwa akitibiwa anatakiwa kukaa Wiki 2 au Mwezi ndio aende kutibiwa tena?
Yaan...
Wakuu,
Katika vifo vya viongozi vilivyotokea hivi karibuni comment sections mtandaoni zilikuwa zimesheheni furaha ya Wananchi huku wakishikuru kwa 'kidogo' walichopewa. Hii imekuwa tofauti kwa...
Heri ya Sikukuu ya Pasaka
Ninaungana na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuwatakia Watanzania wote Pasaka njema yenye furaha na baraka tele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.