Tundu Lissu MP
HARDtalk
HARDtalk's Stephen Sackur speaks to Tanzanian opposition MP, Tundu Lissu.
Tanzania is one of Africa's fastest growing nations economically and demographically - it's also...
MFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI
Amepatikana akiwa ametelekezwa kwenye viwanja vya Gymkhana
Baada ya kutekwa, Gari la watekaji liliendeshwa kwa kasi sana na kwenda...
Muda wa kama dakika 20 zilizopita mjini Morogoro, Sheikh Ponda amepigwa risasi.
Dhahama hiyo imempata baada ya kushuka kwenye taxi ambako kulikuwa leo akiendesha mhadhala baada ya mhadhala huo...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameanza ziara yake ya siku 10 ndani ya jiji la Dar es salaam kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi pamoja na kuzitafutia ufumbuzi.
Hii thread itakuwa...
Heshima kwenu wakuu,
Leo Novemba 26 2017 ni Siku ya Uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 43 Tanzania. Uchaguzi huu unafanyika kujaza nafasi zilizo wazi katika kata hizo Baada ya Madiwani...
============
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 26 Juni, 2016 amefanya mabadiliko madogo katika safu ya wakuu wa mikoa na amewateua wakuu wa wilaya 139...
- Mulugo ameondoshwa rasmi serikalini. Nafasi yake imejazwa na Jenista Mhagama
- Mwigulu Nchemba amekuwa Naibu Wizara ya Fedha (Sera). Aliyekuwa nafasi hiyo sasa ni Waziri Kamili
- Ole Medeye...
Askofu Zakaria Kakobe leo akiwa kanisani kwenye ibada ya Christmas, katika kanisa la FGBF Mwenge jijini Dar es Salaam, amenukuliwa akituma salamu kwa Rais wa JMT, Dkt. John P. Magufuli.
"Rais...
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye...
Kwanza ningependa kukupongeza kwa juhudi zako za kutaka kuliboresha jiji letu hili la Dar. Nimekuwa nikifuatilia juhudi zako tangu ulipokuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Naamini jitihada zako za...
Leo Jumanne Septemba 08, 2015 Askofu Gwajima anaongea na waandishi wa habari akitoa maelezo juu ya alichokisema Dk. Slaa wakati anaongea na waandishi wa habari pia kutoa maelezo ya uhusikaji wake...
Prof. Lipumba akiongea na waandishi wa Habari kwenye Hoteli ya Peacock
Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti kwenye chama chake cha Wananchi CUF.
Ametangaza kuachia...
Amiri Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa jijini Arusha huku akiwa amevalia vazi la Kijeshi wakati aliposimama kuwasalimia...
Nimetafakari, nikaona nipate pia mawazo wanafikra weledi juu ya baadhi ya kauli zenye utata za viongozi kwa wananchi
Je, huu ni uungwana kweli?
Kauli tata za vingozi wa Tanzania
Mtakula nyasi...
Huyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais, siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko...
Kunafanyika mkutano wa kumtambulisha mgombea/mwenza wa CHADEMA/UKAWA kupeperusha bendera ya Urais Uchaguzi mkuu mwezi Oktoba.
Lowassa na Dr. Duni watatambulishwa kwenye uwanja wa Furahisha,ambapo...
Wakuu,
Kikao cha Kamati Kuu ndiyo kimeisha muda huu, na taarifa zilizopo ni kwamba kambi ya PM7 imevunjwa rasmi baada ya viongozi wake kuvuliwa vyeo vyote walivyo navyo ndani ya chama...
Mubashara kutoka Ukumbi wa Chimwaga na kupitia hapa JF tunakuletea kinachojiri...
Viongozi mbalimbali wa kitaifa wameshaingia kwenye ukumbi wa Chimwaga. Yupo Katibu Mkuu Kiongozi, Waziri wa...
Kumekuwa na hamasa hamasa ya maandamano kwa kupitia Mitandao ya Kijamii, haswa kupitia Instagram na Telegram. Hamasa hii imeamsha hisia za kila aina kwa wale ambao wanafuatilia kwa karibu.
Hamasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.