Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameongoza Kikao cha Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kilichojadili masuala ya Muungano. Kikao hicho...
Unaweza usinielewe kamwe wewe unayesoma hapa, ILA kiukweli vifo vya hao ndugu nilio wataja vilichagizwa na Nafasi za utawala alizo kuwa nazo Paulo chiristiani Bashite Makonda.
Yawezekana unielewi...
Wadau leo niko very stressed.
Nimeamua nianze kula konyagi mapema tu maana kazi siipendi tena.
Naenda kazini nikiwa sina raha. Mkuu wa shule anafuatilia maisha yangu.
Kijibiashara cha kuuza...
Ukweli ndio huu CHADEMA haujahusika na vurugu na wala haikushiriki kabisa.
Lissu alikuwa jela hiyo Oktoba 29 na Heche alikiwa jela. Hawakuhamasisha mtu.
WanaCCM ambao mpaka leo walishachukia...
Mwandishi wa habari wa The Chanzo, Khalifa Said kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha;
"Hakuna kitu kama “umoja wa kitaifa.” wewe ni either upo tabaka tawala au tabaka tawaliwa, au ni...
Wakuu,
Imeisha hiyooooo!
Kwamba utekaji wa kina polepole, soka na wenzake, mdude na wenzake ilikuwa ni mambo ya kijamii na masuala ya madeni au wamejipoteza.
Ndo maana anaishiwa na pumzi...
Just for curiosity: Wamiliki watahamishwa kwenda " Msovera" au watalipwa kupisha wajomba toka Arabuni?
Wakati Serikali ikibainisha mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la Sinza...
Wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga katika eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam, wakieleza kufurahishwa kwao na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu , ambapo uzinduzi wake utafanyika Makao Makuu ya
Shirika la Uvuvi...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, akifanya Mahojiano na Chombo cha habari cha kimataifa BBC Aprili 24, 2026 amesema Vijana waliopewa mafunzo ya...
Mwenyezi Mungu aendelee kusimama na kila mmoja na kusimama na Taifa letu. Ni imani yangu bado kila mmoja anakusudi la kweli katika kudumisha amani, kukuza umoja wa kitaifa na kusimamia misingi ya...
Jicho la mwewe leo linatua kwenye mfumo wetu wa kisiasa na kuangazia miaka 27 ya mfumo wa vyama vingi na uwezo wa vyama hivyo kama mbadala wa CCM. Kwa kipindi hicho chote, tumeona na kushuhudia...
Ndio maana nchi kama USA na zilizoendelea Maprofesa wanabaki vyuoni kufundisha.
Prof Kabudi anazingua na amepotea kabisa.
Anaulizwq maswali anajibu kama mtu asie na elimu kabisa.
Mfano...
Wanaukumbi, kama ulifuatilia hii tume Chande tangu mwanzo mpka mwisho wake utagundua huenda tulichosomewa na tume sicho kilichogunduliwa na tume.
Nachodhani tume ilipeleka ripoti, baada ya...
Ushahidi uliojitokeza ulionyesha kuwa baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kama fursa ya kuwachochea kushiriki katika ghasia.
Vichocheo mahsusi vilichunguzwa na...
Tumekuwa tunasikia CCM inamiliki mashamba, viwanja, kumbi na miradi mingine lukuki ambayo chama kinaitumia kuendeshea shughuli zake na hivyo kuondoa uwezekano wowote wa kutumia mali za serikali...
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2015, vyama vya upinzani hali yake ni mbaya sasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Mpaka ninavyoandika hapa na kama hali ikiendelea hivi, Uchaguzi Mkuu wa 2020...
Kuna watu wamejaliwa kipaji Cha utambuzi kwa kutumia jicho la tatu katika kufahamu nia na dhumuni la mtu wakati anapozungumza au anapotenda na kipaji hiki mara nyingi unakuwa ni uwezo wa ndani...
Haya ni Mapungufu ya Ofisi ya Katibu Mkuu, na hasa aliyekuwa Naibu Benson Kigaila
Kosa hili lisirudiwe tena, inafahamika wazi kwamba Odera alishaugua kichaa na kufungwa kamba miguu na mikono Mara...